kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Kila nikiangia freebasic jf naambiwa data charge my apply tatizo ni nini? Msaada wakuu
mtandao gani unatumia?
Halotel mkuu
Hili ni jibu mama sio swaliHiyo maana yake unataka jf ya bure???
Khaaaa kweli vyuma vimekazaHili ni jibu mama sio swali
HahahahaKhaaaa kweli vyuma vimekaza
Mmmh tigo nahisi hawana maana mi natumia tigo but sijawahi ona hiyo kituHahahaha
Halafu ninavyojuaga freebasic bure sijui ni kwa tigo na voda au tigo pekee yeye anatumia halotel
Ni tigo, na voda ndo waliingia mkataba na FacebookHahahaha
Halafu ninavyojuaga freebasic bure sijui ni kwa tigo na voda au tigo pekee yeye anatumia halotel
Mmmh tigo nahisi hawana maana mi natumia tigo but sijawahi ona hiyo kitu
Zesh jibu ni hilo la kaka DripNi tigo, na voda ndo waliingia mkataba na Facebook
Tigo, Airtel na Vodacom ndiyo sim card ambazo unaweza kutumia freebasics. Browser ni Opera, chrome & firefoxMmmh tigo nahisi hawana maana mi natumia tigo but sijawahi ona hiyo kitu
Kila nikiangia freebasic jf naambiwa data charge my apply tatizo ni nini? Msaada wakuu
Hahahaha
Halafu ninavyojuaga freebasic bure sijui ni kwa tigo na voda au tigo pekee yeye anatumia halotel
Usipende vya bure rafikiangu nisije nikakukosaMmmh tigo nahisi hawana maana mi natumia tigo but sijawahi ona hiyo kitu
Na mm nasubiri jawabuHivi nikitaka naingia wapi kutumia jf bure
Kwenye app ya operamini androidKila nikiangia freebasic jf naambiwa data charge my apply tatizo ni nini? Msaada wakuu