Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,736
- 89,326
Serikali ya kishetani.Tofautisha Jamhuri na Serikali.
Serikali ya kishetani.Tofautisha Jamhuri na Serikali.
Ukiona ni hiyo ndio inafaa kaishike kidevu na kuitekenya kwapani, au jaribu na jamhuri zingine pia, then matokeo utakayopata baada ya utundu huo basi ndio itakua Jamhuri husika. 😂😂😂Jamhuri Stadium, Dodoma
Sawa endelea kuishika kidevu na kuitekenya kwapani 😂😂😂Sisi hatuna jamhuri tuna kituko,so lazma tupambane kukabili kituko hicho
Sawa, ila mimi nimeandika Jamhuri. 😂😂Tofautisha Jamhuri na Serikali.
Kuna maisha baada ya kuwaombea wengine mabaya. President yeye analinda amani ya nchi na amekula kiapo hicho. Sasa kosa lake nini hadi umwombea mabaya. Wacha wivu 😂😂😂Hakuna rais duaniani aliyeshindana na kanisa na akashinda. Ni suala la muda tu, Samia ataishia mwisho mbaya sana sana. Kitendo cha kutuma watu kulawiti watu huku wakisema ''asante Samia'' ni ushetani ambao Mungu hataachia ipite hivi hivi.
Wewe ni miongoni mw watanzania mnaoamini kwamba SAMIA SULUHU HASSAN ana PhD?Kweli kabisa
Wewe unaimba nyimbo gani? Ukanda wa pwani ni taarabu tuWewe ni miongoni mw watanzania mnaoamini kwamba SAMIA SULUHU HASSAN ana PhD?
Kumbe ndiyo maana nawe una akili kama mwimba taarabu
Hivi bandar waliibeba wakaondoka nayo au na wewe ni mkenya mnaona ufanisi umekuwa mzuri mnawasiwasi bandari ya mombasa itakuwa na hali mbaya .Jamhuri ipi? Hii inayouza Bandar zake kwa warabu?
Hii Jamhuri iliyoshindwa hata kusimamia DART?
HII Jamhuri ambayo viongozi wake wanaingia madarakani kwa WIZI WA KURA?
Kwamba ukishakuwa raisi unakuwa na PhD hata kama ulikimbiq shule kama samia???
Wacha wivu, alafu unapojenga hoja epuka kuweka masuala personal. Hiyo ni akili mbovu 😂😂Wewe ni miongoni mw watanzania mnaoamini kwamba SAMIA SULUHU HASSAN ana PhD?
Kumbe ndiyo maana nawe una akili kama mwimba taarabu
Inaweza kuwa ya bananaJamhuri ipi
Samia kafeli form four halafu eti leo Dr?😂😂😂 Dr wa kuteka watu na usanii mwingi na ufisadi?Jamhuri ipi? Hii inayouza Bandar zake kwa warabu?
Hii Jamhuri iliyoshindwa hata kusimamia DART?
HII Jamhuri ambayo viongozi wake wanaingia madarakani kwa WIZI WA KURA?
Kwamba ukishakuwa raisi unakuwa na PhD hata kama ulikimbiq shule kama samia???
Alisikaka mlevi mmoja, "Jemhuri ya samaki""Kujaribu kuishika Jamhuri kidevu na kuitekenya kwapani ni kama kumvisha jogoo soksi na kutegemea acheze ballet, utavunja heshima, na upate aibu😂😂😂." — Alloyce, P.R.
Labda docta wa mipasho na taarabuSamia kafeli form four halafu eti leo Dr?😂😂😂 Dr wa kuteka watu na usanii mwingi na ufisadi?
Mwenyewe unajiona umeandika point kweli kweli aise ila hii dunia ina maajabu sana."Kujaribu kuishika Jamhuri kidevu na kuitekenya kwapani ni kama kumvisha jogoo soksi na kutegemea acheze ballet, utavunja heshima, na upate aibu😂😂😂." — Alloyce, P.R.
Nimeipenda hii, "Docta wa Mipasho na taarab.Labda docta wa mipasho na taarabu
Samia anatuma watu kulawiti na kuua. Ni muuaji na damu anayomwaga itamwadhibu!Kuna maisha baada ya kuwaombea wengine mabaya. President yeye analinda amani ya nchi na amekula kiapo hicho. Sasa kosa lake nini hadi umwombea mabaya. Wacha wivu 😂😂😂