James Rock Mwakibinga pesa anatoa wapi?

James Rock Mwakibinga pesa anatoa wapi?

Huyu kijana ambaye amekuwa anajinasibu kijana kindakindaki wa ccm na magufuli siku za usoni amekuwa anatoa misaada sana tena ya pesa nyingi tu

Swali langu ni je hizi pesa anatoa wapi? Kwa maana hana kazi wala biashara ama anatumika tu?
903d3a078f7735bc12139a5ecad43fd8.jpg
Anafumuliwa nyuma na baadhi ya vigogo ndo maana anapesa, ukimuona sasa hivi tako linazidi la Snura
 
Money Laundry! He n Makonda have to be investigated of the Offence!
 
Unawasiwasi gani hizo ni pesa zetu za kodi, hizo press zao ni kiki tu, pesa yetu inatumika tunavyotaka wananchi. Ukifumba macho usimuone huyo Mwakabinga, utaona pesa ya kodi imenunua vifaa vya maabara.
 
Unawasiwasi gani hizo ni pesa zetu za kodi, hizo press zao ni kiki tu, pesa yetu inatumika tunavyotaka wananchi. Ukifumba macho usimuone huyo Mwakabinga, utaona pesa ya kodi imenunua vifaa vya maabara.
Mbona wew hawakupi ukatoe misaada?
 
Hahaha unadhani akitoa yeye anafaidi nini?!
Huyu dogo nasikia moja ya sababu kukimbia jkt ni kuwa baada ya vipimo kiafya ili kujiunga na jwtz alikuwa na kasoro fulani hivi nmeshindwa sema maana sina uhakika
 
Akitoa Lema ama Mnyika tusingesikia maswali haya ya kipuuzi ,nani anatangaza hela alikozitoa?
Elimu Elimu Elimu

Hicho kilikuwa kipaumbele cha UKAWA,ss huu ni upupu gan umeandika hapa!?...

Umeelewa uzi unasemaje lkn au umekurupuka huko ulipokuwa umepakatwa ukakimbilia kucomments bila kusoma thread?...

Okay nikuulize kwa kukusaidia labda hao uliyowataja hapo juu hujui wanafanya shughuli gan?...
 
Eti madai anajindaa kuwa kiongozi wa kesho. Pumbavu sana......majitu kama haya mataka sifa huwa hayatakiwi hata kukaimu kiti cha mwenyekiti wa serikali za mtaa
 
Eti madai anajindaa kuwa kiongozi wa kesho. Pumbavu sana......majitu kama haya mataka sifa huwa hayatakiwi hata kukaimu kiti cha mwenyekiti wa serikali za mtaa
Viongozi wabovu wa kesho hujiandaa wenyew leo huku tukiwa tunawaona kabisa
 
Back
Top Bottom