James Rock Mwakibinga pesa anatoa wapi?

James Rock Mwakibinga pesa anatoa wapi?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,672
Reaction score
3,737
Huyu kijana ambaye amekuwa anajinasibu kijana kindakindaki wa ccm na magufuli siku za usoni amekuwa anatoa misaada sana tena ya pesa nyingi tu

Swali langu ni je hizi pesa anatoa wapi? Kwa maana hana kazi wala biashara ama anatumika tu?
903d3a078f7735bc12139a5ecad43fd8.jpg
 
Huyu kijana ambaye amekuwa anajinasibu kijana kindakindaki wa ccm na magufuli siku za usoni amekuwa anatoa misaada sana tena ya pesa nyingi tu

Swali langu ni je hizi pesa anatoa wapi? Kwa maana hana kazi wala biashara ama anatumika tu?
903d3a078f7735bc12139a5ecad43fd8.jpg
Aya ni majungu ya kike!wewe inakuhusu nini kupata kwake pesa!hii nchi bhana
 
Anatumika mkuu.....hapo yupo MAKONDA nyuma yake nadhan jamaa anatafutiwa cheo fulani hiv
Dogo alikuwa bega kwa bega sana na makonda kipindi kie uvccm sasa kwa nguvu aliyonayo mako kwa nini asimuombee tu direct ka nafasi kuliko hii ya mara misaada mara sisi tanzania mpya mara matokeo chanya mara tukutane kazini
 
Aya ni majungu ya kike!wewe inakuhusu nini kupata kwake pesa!hii nchi bhana
Umekuja kujitetea? Ama unamtetea? Lazima tujue pesa anazotoa misaada anatoa wapi? Hana kazi hana biashara anatoa wapi
 
Mleta maada unaweza kuzibitisha pasipo kuacha shaka kama huyo jamaa kweli hana kaz?
 
Huyu kijana ambaye amekuwa anajinasibu kijana kindakindaki wa ccm na magufuli siku za usoni amekuwa anatoa misaada sana tena ya pesa nyingi tu

Swali langu ni je hizi pesa anatoa wapi? Kwa maana hana kazi wala biashara ama anatumika tu?
903d3a078f7735bc12139a5ecad43fd8.jpg


HABARI,
"aka2030,
Mkuu mbona unatuangusha Ulishafika Step Nzuri ya kujua Hana kazi wala Biashara hiyo ni hatua nzuri usiishie njiani endelea mpaka ujue anapotoa hizo pesa uje na majibu kamili Kamanda.

LUMUMBA
 
HABARI,
"aka2030,
Mkuu mbona unatuangusha Ulishafika Step Nzuri ya kujua Hana kazi wala Biashara hiyo ni hatua nzuri usiishie njiani endelea mpaka ujue anapotoa hizo pesa uje na majibu kamili Kamanda.

LUMUMBA

best post in this thread!!
 
best post in this thread!!
yule kazi anayo na anafanya kazi maalum... na vijana wengi wa UVCCM walipo ktk nafasi za juu za uongozi ni watu wa kazi maalum wao ni wa kutumwa na kutii...

kuna muda wanafnya mpaka vibweka, ulisha wahi jiuliza kwanini kesi zao huwa zina futwa? futwa... kuna yule wa Arusha aliyekuwa ina semekana anajfanya usalama, ilipelekea kufikishwa mahabusu na mahakaman... mwisho wa siku akaachiwa kama yule wa mzanzibar pale dodoma...

hawa ni jamii yao wana tumiwa vizuri sana... nazni huyu na Tulia kuna majimbo yana wahusu huko mbeya kwa ajiri ya uchaguzi ujao... subirieni kuwapigia kura

Ndipo utajua amepata kazi au la... alikuwa na kazi au la...
 
sugu kipenzi cha watu yeye aendelee kukaa na masikini maana masikini huwa hatuachani... hawa matajiri wana tutumia kama jojo ili kufanikisha mambo yao
 
Huyu kijana ambaye amekuwa anajinasibu kijana kindakindaki wa ccm na magufuli siku za usoni amekuwa anatoa misaada sana tena ya pesa nyingi tu

Swali langu ni je hizi pesa anatoa wapi? Kwa maana hana kazi wala biashara ama anatumika tu?
903d3a078f7735bc12139a5ecad43fd8.jpg
Akitoa Lema ama Mnyika tusingesikia maswali haya ya kipuuzi ,nani anatangaza hela alikozitoa?
 
Back
Top Bottom