mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Arusha imeishakumbwa na siasa chafu za ubaguzi, zilizoasisiwa na Ole Medeye, kuwa Wachagga Arusha wameifanya kama ndio kwao na haina wenyewe!. Japo raia yoyote Mtanzania, anao uhuru wa kugombea jimbo lolote, ila ni kabila moja tuu ndilo linaloongoza kwa kutoa wabunge wa kabila hilo kwenye mikoa ya wenzao!, wewe nenda kagombee huko kwao, kama hutasikia neno anani amchague "kyasaka!".
Sikumbuki mara ya Mwisho kwa jimbo la Arusha kushikwa na mtoto wa nyumbani ni lini?!. Tatizo la Arusha ni mji wa machalii, Lema ni chalii, sijui kama Milya ni chalii, ushindi wa Lema, ulifanikishwa na ma Don wa Kichagga wakiongozwa na Mrema wa Impala, Naura na Ngurdoto!, kufuatia zile vurugu za maadamano, don huyu alijuta!, akajiapiza Lema harudi 2015!, Arusha haiongei siasa, inaongea pesa tuu!. Chadema msimamisheni tena kipenzi cha wana Arusha na jimbo mlirudishe CCM kama mgombea wa CCM ataungwa mkono na ma don wa AR!.
Pasco.
Pasco, if you live a please life try to please others