Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
James Mbowe ambaye ni mwanachama mwaminifu wa chama cha ukombozi wa umma (CHAUMMA) anasema moja ya kitu ambacho kilikuwa kinamuumiza ndani ya CHADEMA ni Mheshimiwa Mbowe kutukanwa kwenye mitandao na viongozi ndani ya chama kuwa kimpya.
"Hakuna kitu kibaya kama viongozi kuruhusu muasisi wa chama kushambuliwa na kutukanwa kwenye mitandao. Freeman ametukanwa sana kwenye mitandao – anatukanwa kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi, na anatukanwa na vijana wa CHADEMA hawa Gen Z; watoto ambao wameingia kwenye hiki chama hata hawakijui kimetoka wapi wala kinaelekea wapi. Wamepewa tu Hadidu za Rejea, wao ni kushambulia, ni kutukana."
"Hebu nambie, mtu ambaye mnamtukana kuanzia asubuhi mpaka jioni, yeye amenyaamaza kimya – na anamtukana kwenye magroup ya chama ambako Makamu Mwenyekiti yuko, kwa maana ya John Heche, aliyekuwa Katibu Mkuu John Mnyika yupo, na baadhi ya viongozi waandamizi wa chama wapo. Freeman anatukanwa kule na vijana, lakini wenyewe wanakaa kule, wanasoma, wananyamaza kimya."
"Hakuna kitu kibaya kama viongozi kuruhusu muasisi wa chama kushambuliwa na kutukanwa kwenye mitandao. Freeman ametukanwa sana kwenye mitandao – anatukanwa kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi, na anatukanwa na vijana wa CHADEMA hawa Gen Z; watoto ambao wameingia kwenye hiki chama hata hawakijui kimetoka wapi wala kinaelekea wapi. Wamepewa tu Hadidu za Rejea, wao ni kushambulia, ni kutukana."
"Hebu nambie, mtu ambaye mnamtukana kuanzia asubuhi mpaka jioni, yeye amenyaamaza kimya – na anamtukana kwenye magroup ya chama ambako Makamu Mwenyekiti yuko, kwa maana ya John Heche, aliyekuwa Katibu Mkuu John Mnyika yupo, na baadhi ya viongozi waandamizi wa chama wapo. Freeman anatukanwa kule na vijana, lakini wenyewe wanakaa kule, wanasoma, wananyamaza kimya."