James Mbatia ni mwanachama wa CCM 150%

James Mbatia ni mwanachama wa CCM 150%

Kipind wewe unawa ivyo wenzako wamesha ona Moto unavyo Waka wameanza kukimbia
Chama pekee ambacho kimeitoa jasho system ya utawala Tanzania ni chadema. Hii ni kutokana kuwa na uongozi na taasisi ambazo haziyumbishi pamoja na kitengo makini cha ujasusi.

Vyama vingine vyote vimetawaliwa na kuongozwa na mawakala wa serikali ya ccm.

Chaadema imejitahidi sana na mwaka huu wakati wa uchaguzi system ilijitahidi sana kupandikiza watu katima safu za uongozi lakini wakadondokea pua wote.

NCCR ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake kimeongozwa na mawakala wa system. Toka enzi za Mrema, marando, Hadi James mbatia .

Kumbuka kuomyesha kwamba James Mbatia ni mtu wa system iliyoko madarakani amewahi kuteuliwa na JK kuwa mbunge. Kama haitoshi James mbatia amekua passive hata kuliko wabunge wa ccm.

Haishangazi kuona James Mbatia anaye jifanya kuipenda serikali akiwa mpinzani, mbatia sio mpinzani.

Serikali ya Magufuli baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi wananchi kuopenda ccm na kuachana na chadema , imeona njia pekee ni kuiua chadema kwa kuijenga ncce mageuzi.

Japo wasilo jua ii kwamba mfumo.wa chadema ji mfumo ambao wanachi wengi wanaona chadema ndio chama kinacho shikilia maslahi ya wananchi.

Kujua hilo angalia michango ya kuwatoa gerezani.

Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.View attachment 1448005

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CDM haina mwenyewe; CDM unaingia kwa hiari na ukitaka kutoka hivyo hivyo.

Ni chama pekee pendwa kwa vijana wasomi ambao wanapata nafasi ku explore talents zao za kisiasa, kijamii bila ubaguzi wowote.

Kufikiri kuiua CDM kwa sasa ni ndoto tena ya mchana kwa sababu:
1 . Chadema ina mizizi ndani ya usalama
2. Chadema ina mizizi ndani ya Serikali na idara zake
3. CDM ina mizizi ndani ya Bunge

Na ndiyo maana kila kitu kinachopangwa kibaya juu yake CDM inakidaka kabla hakijafanya madhara.
Hakuna LOLOTE
 
Boss Tabutupu Usemeyo yana ukweli wote ni Mjinga tu asiyejua hayo.

Mbona umetuwekea picha ya Spika Ndungai inhali habari ni ya Mbatia???!!!

Mimi Binafsi, Simuungi Mkono huyu aliyeleta Idea ya Kuiua Chadema. Wapinzani wanaibua mambo ambayo wengi wetu tunakuwaga gizani, yawe ya kweli au Uongo au Propaganda.

Bila Upinzani madhubuti, Hakuna Maendeleo. Chadema ni chama cha kupongezwa, Pamoja na Udogo wao Bungeni ila wamelisaidia sana Taifa. Wameweka Pressure kubwa kwa Chama tawala na Jamhuri na Serikali.

Ushauri wangu, Hizo Pesa zinazotumika kuwatafuta akina Kigogo, Kuiua Chadema hata kununua Upinzani, wazitumie kwenye Mambo mengine ya Maendeleo.

Uzuri WaTanzania wa leo sio Wajinga, Kitendo tu cha Kuwachangia Viongozi wa Chadema yale Mamilioni ingekuwa wake up call kwa Viongozi kujua Wananchi wanaona na kufuatilia mambo.

Chama pekee ambacho kimeitoa jasho system ya utawala Tanzania ni chadema. Hii ni kutokana kuwa na uongozi na taasisi ambazo haziyumbishi pamoja na kitengo makini cha ujasusi.

Vyama vingine vyote vimetawaliwa na kuongozwa na mawakala wa serikali ya ccm.

Chaadema imejitahidi sana na mwaka huu wakati wa uchaguzi system ilijitahidi sana kupandikiza watu katima safu za uongozi lakini wakadondokea pua wote.

NCCR ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake kimeongozwa na mawakala wa system. Toka enzi za Mrema, marando, Hadi James mbatia .

Kumbuka kuomyesha kwamba James Mbatia ni mtu wa system iliyoko madarakani amewahi kuteuliwa na JK kuwa mbunge. Kama haitoshi James mbatia amekua passive hata kuliko wabunge wa ccm.

Haishangazi kuona James Mbatia anaye jifanya kuipenda serikali akiwa mpinzani, mbatia sio mpinzani.

Serikali ya Magufuli baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi wananchi kuopenda ccm na kuachana na chadema , imeona njia pekee ni kuiua chadema kwa kuijenga ncce mageuzi.

Japo wasilo jua ii kwamba mfumo.wa chadema ji mfumo ambao wanachi wengi wanaona chadema ndio chama kinacho shikilia maslahi ya wananchi.

Kujua hilo angalia michango ya kuwatoa gerezani.

Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.View attachment 1448005

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama pekee ambacho kimeitoa jasho system ya utawala Tanzania ni chadema. Hii ni kutokana kuwa na uongozi na taasisi ambazo haziyumbishi pamoja na kitengo makini cha ujasusi.

Vyama vingine vyote vimetawaliwa na kuongozwa na mawakala wa serikali ya ccm.

Chaadema imejitahidi sana na mwaka huu wakati wa uchaguzi system ilijitahidi sana kupandikiza watu katima safu za uongozi lakini wakadondokea pua wote.

NCCR ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake kimeongozwa na mawakala wa system. Toka enzi za Mrema, marando, Hadi James mbatia .

Kumbuka kuomyesha kwamba James Mbatia ni mtu wa system iliyoko madarakani amewahi kuteuliwa na JK kuwa mbunge. Kama haitoshi James mbatia amekua passive hata kuliko wabunge wa ccm.

Haishangazi kuona James Mbatia anaye jifanya kuipenda serikali akiwa mpinzani, mbatia sio mpinzani.

Serikali ya Magufuli baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi wananchi kuopenda ccm na kuachana na chadema , imeona njia pekee ni kuiua chadema kwa kuijenga ncce mageuzi.

Japo wasilo jua ii kwamba mfumo.wa chadema ji mfumo ambao wanachi wengi wanaona chadema ndio chama kinacho shikilia maslahi ya wananchi.

Kujua hilo angalia michango ya kuwatoa gerezani.

Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.View attachment 1448005

Sent using Jamii Forums mobile app
Una haki ya kumlaumu Mh. Mbatia kuwa sio mpinzani kwakuwa yeye hana tuhuma za ngono!
 
Hilo limejidhihirisha waziii watanzania tumeling'amua.
 
Sijawahi kumuamini Mbatia hata siku moja toka nilipigondua kuwa ni MCHICHA MWIBA. Anatia kwa mkewe lakini na yeye anatiwa na midume inayoitwa Mabasha.

Kwa hiyo hata kwenye siasa ana JINSIA Mbili vile vile; CCM na nyingine NCCR
 
CDM haina mwenyewe; CDM unaingia kwa hiari na ukitaka kutoka hivyo hivyo.

Ni chama pekee pendwa kwa vijana wasomi ambao wanapata nafasi ku explore talents zao za kisiasa, kijamii bila ubaguzi wowote.

Kufikiri kuiua CDM kwa sasa ni ndoto tena ya mchana kwa sababu:
1 . Chadema ina mizizi ndani ya usalama
2. Chadema ina mizizi ndani ya Serikali na idara zake
3. CDM ina mizizi ndani ya Bunge

Na ndiyo maana kila kitu kinachopangwa kibaya juu yake CDM inakidaka kabla hakijafanya madhara.
Mizizi yote hiyo alaf mnalamikia kura kuibwa
 
tuseme tu ni jasusi,majasusi mbona yako mengi tu? uchaguzi umepita chama kimeambulia mbunge mmoja tu, hawa wengine watafanyia siasa wapi kama si kurudi kundini baada ya kukisambaratisha chama? ni lazima mapandikizi yawepo ili kudhibiti mambo
 
Chama pekee ambacho kimeitoa jasho system ya utawala Tanzania ni chadema. Hii ni kutokana kuwa na uongozi na taasisi ambazo haziyumbishi pamoja na kitengo makini cha ujasusi.

Vyama vingine vyote vimetawaliwa na kuongozwa na mawakala wa serikali ya ccm.

Chaadema imejitahidi sana na mwaka huu wakati wa uchaguzi system ilijitahidi sana kupandikiza watu katima safu za uongozi lakini wakadondokea pua wote.

NCCR ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake kimeongozwa na mawakala wa system. Toka enzi za Mrema, marando, Hadi James mbatia .

Kumbuka kuomyesha kwamba James Mbatia ni mtu wa system iliyoko madarakani amewahi kuteuliwa na JK kuwa mbunge. Kama haitoshi James mbatia amekua passive hata kuliko wabunge wa ccm.

Haishangazi kuona James Mbatia anaye jifanya kuipenda serikali akiwa mpinzani, mbatia sio mpinzani.

Serikali ya Magufuli baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi wananchi kuopenda ccm na kuachana na chadema , imeona njia pekee ni kuiua chadema kwa kuijenga ncce mageuzi.

Japo wasilo jua ii kwamba mfumo.wa chadema ji mfumo ambao wanachi wengi wanaona chadema ndio chama kinacho shikilia maslahi ya wananchi.

Kujua hilo angalia michango ya kuwatoa gerezani.

Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.View attachment 1448005

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.
 
Chama pekee ambacho kimeitoa jasho system ya utawala Tanzania ni chadema. Hii ni kutokana kuwa na uongozi na taasisi ambazo haziyumbishi pamoja na kitengo makini cha ujasusi.
Kumbe Chadema wana Tiss yao tofauti na ile central Tiss?
 
Chadema ni chama makini sana mbali na kuwindwa kuuwawa na kupotezwa kwa Viongozi wake lakini mapambano bado yanaendelea.

Vigogo na makada wa ccm na wakuu wa mikoa pamoja na Policcm hawapati usingizi bila ya kubugia vidonge vya presha.

Ee Mungu ibariki Chadema no hate no fear
Ameen ameen Mtumishi.
 
Back
Top Bottom