Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kama ndani ya CCM wataishia kuzunguruka tu
In God we Trust
Tanzania hatuna tatizo la chama, tuna tatizo la watu.Unapoona watu wanazungumzia chama kama tatizo, hicho ni kiashiria kikuu cha tatizo walilonalo watu hao. Unapokuwa na watu wenye matatizo, chama chochote watakachokuwepo kitakuwa na tatizo; si kwa sababu chama hicho ni tatizo bali watu.
Kwa bahati mbaya hatuko tayari kuambiana wala kusikia tukiambiwa ukweli kwa sababu mbalimbali. Mwishowe tunajikuta tukizunguruka kwenye wimbi la ujinga huku jukijifanya tunajua.
In God we Trust