Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,702
Chama pekee ambacho kimeitoa jasho system ya utawala Tanzania ni chadema. Hii ni kutokana kuwa na uongozi na taasisi ambazo haziyumbishi pamoja na kitengo makini cha ujasusi.
Vyama vingine vyote vimetawaliwa na kuongozwa na mawakala wa serikali ya ccm.
Chaadema imejitahidi sana na mwaka huu wakati wa uchaguzi system ilijitahidi sana kupandikiza watu katima safu za uongozi lakini wakadondokea pua wote.
NCCR ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake kimeongozwa na mawakala wa system. Toka enzi za Mrema, marando, Hadi James mbatia .
Kumbuka kuomyesha kwamba James Mbatia ni mtu wa system iliyoko madarakani amewahi kuteuliwa na JK kuwa mbunge. Kama haitoshi James mbatia amekua passive hata kuliko wabunge wa ccm.
Haishangazi kuona James Mbatia anaye jifanya kuipenda serikali akiwa mpinzani, mbatia sio mpinzani.
Serikali ya Magufuli baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi wananchi kuopenda ccm na kuachana na chadema , imeona njia pekee ni kuiua chadema kwa kuijenga ncce mageuzi.
Japo wasilo jua ii kwamba mfumo.wa chadema ji mfumo ambao wanachi wengi wanaona chadema ndio chama kinacho shikilia maslahi ya wananchi.
Kujua hilo angalia michango ya kuwatoa gerezani.
Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyama vingine vyote vimetawaliwa na kuongozwa na mawakala wa serikali ya ccm.
Chaadema imejitahidi sana na mwaka huu wakati wa uchaguzi system ilijitahidi sana kupandikiza watu katima safu za uongozi lakini wakadondokea pua wote.
NCCR ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake kimeongozwa na mawakala wa system. Toka enzi za Mrema, marando, Hadi James mbatia .
Kumbuka kuomyesha kwamba James Mbatia ni mtu wa system iliyoko madarakani amewahi kuteuliwa na JK kuwa mbunge. Kama haitoshi James mbatia amekua passive hata kuliko wabunge wa ccm.
Haishangazi kuona James Mbatia anaye jifanya kuipenda serikali akiwa mpinzani, mbatia sio mpinzani.
Serikali ya Magufuli baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi wananchi kuopenda ccm na kuachana na chadema , imeona njia pekee ni kuiua chadema kwa kuijenga ncce mageuzi.
Japo wasilo jua ii kwamba mfumo.wa chadema ji mfumo ambao wanachi wengi wanaona chadema ndio chama kinacho shikilia maslahi ya wananchi.
Kujua hilo angalia michango ya kuwatoa gerezani.
Kwa hiyo James mbatia na nccr yake ni tawi la chama tawala lililo jiegesha kwenye ukuta wa upinzani. Fullstop.
Sent using Jamii Forums mobile app


ati chadema hakina wenyewe inawezekana ni mgeni katika siasa za tz au mahaba yamekuzidi