Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,691
- 218,207
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mh James Mbatia amefika Mkoani Mbeya kwa ziara ya kichama na Kupokelewa na RC wa Mkoa huo huku akiahidiwa ulinzi.
Katika ziara yake hiyo ya kichama atafika Busokelo ambako atapokea wanachama wapya wa chama hicho kutoka Chadema.
Ziara hii imekuja baada ya jana kufika ikulu kuteta na Mh. Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.