James Hadley Chase, Mfu anayeishi

Hii ndio babu kubwa mzeee
1.The Vulture is a patient bird

2. One bright summer morning

3. Shock treatment

4. So what happens to me

5. Thats the way the cookie crumbles

6. Knock knock who is there?

Hzi ndio my best
*Wot iz beta zan mane" kitabu pekee cha huyo mwamba kuwah kukisoma
 
Nadhani ni kwa sababu wakati huo marekani ilikuwa ni taifa tajiri kbs duniani hivyo soko lilikuwa kubwa. Ulaya ilikuwa imevurugwa na vita
 
Umenikumbusha mbali sana chief[emoji3][emoji3][emoji3]

Pia kuna ma detectives kama watatu hivi walikua mashuri kidogo. Kuna Patrol Man O’haloran na Detective Second Grade Thom Lepsiky na mwenzao mwingine
Sawa kabisa. Nawakumbuka Sana hao.
 
Asante Sana kwa kunikumbusha hayo.
 
Nimebakiza novels chache za huyu jamaa ambazo sijazisoma lakini naendelea kwa sababu ninazo zote kwenye soft copy, Salute kwake. Ni miongoni mwa waandishi bora wa novels.
Nawezaje kupata hiyo soft copy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…