James Hadley Chase, Mfu anayeishi

Coffin from Hong kong
Eve
No orchids for miss blandish
Like a hole in the head
I'll get you for this
The double shuffle
Just a matter of time
I will bury my dead
Tiger by the tail
You never know with women
12 Chinamen and a woman
There's always a price tag
My laugh comes last
Strictly for cash
You must be kidding.
 
Nimebakiza novels chache za huyu jamaa ambazo sijazisoma lakini naendelea kwa sababu ninazo zote kwenye soft copy, Salute kwake. Ni miongoni mwa waandishi bora wa novels.
"One bright summer morning "
"The vulture is a patient bird"
 
Nimesoma sana hivi vitabu nilivyokuwa Sekondari O Level.
Mimi nilichelewa kidogo, nilianza kuzisoma nikiwa University, mwaka wa 4 baada ya shule kuwa imepungua kidogo makali na digrii kuwa inaanza kunukia. Nina soft kopy za ufupisho wa novel zote za Chase (nadhani kwa kiingereza wanaita excerpts), nikipata muda nitaziweka humu kwenye uzi huu
 
uchung sana baadh mchwa wameniharibia.ila almost vyote vipo hard copy first edition mzee enzi hizo karud navyo nje.1990
 
Kaka ilo jina lako limenikumbusha kuna kamalzaman,kitabu cha Alif leila ulela,na safari saba za Sindbad baharia.
sio alif.alfu layl wa layl.usiku elfu moja na moja.visa vyakale uajem kuhusu sultan aliyekua anaua wake zake kila usiku akioa asubh anaua.akatokea huyu mmoja aliyekua anatoa hadith for one thousand nights ikawa kila ikifika asubh anamwambia mumewe sultan,bwana wangu ikiwa utasikia kisa cha flan na flan nimkizur kushinda hki bas mfalme anamwachia hamuuw ikaenda sana hii.ndio zikapokelewa na kuwekwa katika lugha za mataifa mbalimbal.kwa mara ya kwanza kutiwa kiswahil yapata 1930
 
Ungefanyia kazi kiingereza chako..maana vitabu vyake vingi umevikosea title mpaka nikaanza kuwaza kuwa hivyo ni vya wapi. Historia nzuri. Next time kwenye kiingereza mpe mtu ahakiki.
 
Nimesoma hicho "you are lonely when you're dead "
 
Duh,kweli we unakumbukumbu.unacho hiki kitabu.
 
Ungefanyia kazi kiingereza chako..maana vitabu vyake vingi umevikosea title mpaka nikaanza kuwaza kuwa hivyo ni vya wapi. Historia nzuri. Next time kwenye kiingereza mpe mtu ahakiki.
Jamii forums kuna grammar tena? Mbona tumemuelewa km ametumia Google translator kwa copy & paste tunashukuru pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…