Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
CCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
Mkiambiwa chadema kazi yao ni kurukia hoja za CCM huwa hamtaki, hoja ya kuvuwa gamba ni ya CCM, magwanda ya khaki wakairukia, hawana ubunifu hata chembe.
Mkuu umenena vema, kwa tafsiri isiyo rasmi magamba ni wezi wa mali ya umma, mafisadi, wala rushwa & na wote hawa wapo ndani ya CCM kuanzia shina hadi taifaCCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
Kama wewe sio mkristo huwezi kujua so sio lazima uchangie. Huo ni mfano alivyo sema.Na huyo TESU yuko chama gani tena?
CCM inapocheza mziki huo ni Kama Kobe anapojiambia ' we Gamba nitoke!!' of which yeye Na gamba lake wamegandamana..
But Kwa tafsiri ya ndani ya viongozi wa CCM, wanamaanisha ''WANANCHI MAGAMBA TUNAYO HATUWEZI KUJITOA EMBU MTUSAIDIE KUTUONDOLEA'' wakimaanisha wananchi waing'oe serikali ya CCM, Na CCM yenyewe..
Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
Mkuu TESU ni nani?Acheni ushabiki CCM wanabadilika. Hivi unadhani CHADEMA hawana magamba? Wewe ukiwanje hujui tu. Na kuvua magamba sio kufanya wewe unavyotaka. "KAMA WEWE NI MKRISTO:- TESU ALISEMA YAACHENI MAGUGU YAMEE NA NGANO"
Hii inamanisha ukiyang'oa hayo magugu kwa wakati huu yatatoka na ngano. Na mwisho wake utapata hasara. CCM nahisi wako makini. Si kama vyama vingine wanakurupuka kuyatoa magamba. Unatakiwa uwe makini sana katika swala hili.
Mkuu TESU ni nani?