Jambo pekee linaloweza kuwaunganisha wabunge wa CCM na upinzani ni hili tu

MANIAJE

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
244
461
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali watetezi wa nafasi zao, watetezi wa masilahi yao,

Paza sauti katiba ibadilishwe kipengele cha ukomo wa mbunge na cha kiwango cha elimu ya mbunge, zama hizi kuwa na mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa, wakati mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari sifa ya kwanza awe na elimu ya kidato cha nne, lkn mbunge mtunga sheria,

Msimamizi wa serikali, mwakilishi wa wananchi sifa yake kubwa kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa kwa nchi
 
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali watetezi wa nafasi zao, watetezi wa masilahi yao,

Paza sauti katiba ibadilishwe kipengele cha ukomo wa mbunge na cha kiwango cha elimu ya mbunge, zama hizi kuwa na mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa, wakati mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari sifa ya kwanza awe na elimu ya kidato cha nne, lkn mbunge mtunga sheria,

Msimamizi wa serikali, mwakilishi wa wananchi sifa yake kubwa kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa kwa nchi
Katu kuweka kikomo cha ubunge hawataweka. Na ni wa vyama vyote. Tena watakuwa wakali kweli kweli. Ndiyo maana katiba inatakiwa itungwe na wananchi huku wakiongozwa na watu wasiyo na maslahi kwenye siasa hata kidogo.
 
Hisia pekee haziwezi kutuaminisha kuwa waraungana
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali watetezi wa nafasi zao, watetezi wa masilahi yao,

Paza sauti katiba ibadilishwe kipengele cha ukomo wa mbunge na cha kiwango cha elimu ya mbunge, zama hizi kuwa na mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa, wakati mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari sifa ya kwanza awe na elimu ya kidato cha nne, lkn mbunge mtunga sheria,

Msimamizi wa serikali, mwakilishi wa wananchi sifa yake kubwa kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa kwa nchi
 
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali watetezi wa nafasi zao, watetezi wa masilahi yao,

Paza sauti katiba ibadilishwe kipengele cha ukomo wa mbunge na cha kiwango cha elimu ya mbunge, zama hizi kuwa na mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa, wakati mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari sifa ya kwanza awe na elimu ya kidato cha nne, lkn mbunge mtunga sheria,

Msimamizi wa serikali, mwakilishi wa wananchi sifa yake kubwa kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa kwa nchi
Warioba aliweka Vipindi Vi3 tu...Vinatosha mkuu na hata NSSF/PPF ukichangia miaka 15 unaqualify kwa Pension....Leteni fasta Katiba ya MZEE BABA KIGOGO WARIOBA.
 
Mbona wabunge wa upinzani walibariki katiba ya wananchi(katiba ya warioba)yenye ukomo wa ubunge wa vipindi 3. Mbunge awe na Elimu ya kidato cha nne na kuendelea na Rais awe na elimu kuanzia shahada ya kwanza na kuendelea!
 
Katu kuweka kikomo cha ubunge hawataweka. Na ni wa vyama vyote. Tena watakuwa wakali kweli kweli. Ndiyo maana katiba inatakiwa itungwe na wananchi huku wakiongozwa na watu wasiyo na maslahi kwenye siasa hata kidogo.

Hilo lilifanyika kwenye tume ya jaji Warioba lakini wabunge wa ccm wakanajisi maoni ya wananchi.
 
Mbona wabunge wa upinzani walibariki katiba ya wananchi(katiba ya warioba)yenye ukomo wa ubunge wa vipindi 3. Mbunge awe na Elimu ya kidato cha nne na kuendelea na Rais awe na elimu kuanzia shahada ya kwanza na kuendelea!
Acha uwongo
 
Katu kuweka kikomo cha ubunge hawataweka. Na ni wa vyama vyote. Tena watakuwa wakali kweli kweli. Ndiyo maana katiba inatakiwa itungwe na wananchi huku wakiongozwa na watu wasiyo na maslahi kwenye siasa hata kidogo.
Katiba yoyote hutungwa na watu ambao ni neutral! Lazima Kuweka na kipengele kuwa yeyote aliyeshiriki kuitunga katiba husika asigombee hadi miaka 20 ipite including rais wa wakati huo. Hapo mtapata katiba bora la sivyo ni vululu tu
 
Wabunge wote na wanasiasa waliharibu kwa maslahi yao.

Ukawa walitoka baada ya bunge la katiba kugeuzwa kuwa kama hilo bunge la kina Ndugai. Wabunge wa ccm na wapambe wao wakabaki kisha wakaishia kunajisi maoni ya wananchi.
 
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali watetezi wa nafasi zao, watetezi wa masilahi yao,

Paza sauti katiba ibadilishwe kipengele cha ukomo wa mbunge na cha kiwango cha elimu ya mbunge, zama hizi kuwa na mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa, wakati mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari sifa ya kwanza awe na elimu ya kidato cha nne, lkn mbunge mtunga sheria,

Msimamizi wa serikali, mwakilishi wa wananchi sifa yake kubwa kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa kwa nchi
Wa CCM wengi watapukutika.
 
Hilo lilifanyika kwenye tume ya jaji Warioba lakini wabunge wa ccm wakanajisi maoni ya wananchi.
Kulikuwa na makosa tangu mwanzo. Wanasiasa ndiyo walikuwa architects wa mchakato wote tangu uteuzi wa wajumbe wa kwanza.
 
Kulikuwa na makosa tangu mwanzo. Wanasiasa ndiyo walikuwa architects wa mchakato wote tangu uteuzi wa wajumbe wa kwanza.

Kimsingi walioshinikiza kupatikana kwa katiba mpya ni wanasiasa wa upinzani, ila kwa bahati mbaya mchakato ukaporwa na wanasiasa wa wa ccm ambao kimsingi hawakuwa wanahitaji katiba mpya. Hapa ndio tatizo la msingi lilipoanzia. Japo uundaji wa tume ya kuratibu maoni ulikuwa na mizengwe, lakini wajumbe chini ya jaji Warioba walifanya kazi yao kwa usahihi na weledi mkubwa. Tatizo likarejea tena kwenye wajumbe wa bunge la katiba, pale ndio hasa mchakato ulipoanza kuingia mushkeli na kitendo cha kuwatoa wajumbe wa katiba ili kutetea hoja walizokusanya toka kwa wananchi. Kutokea hapo mwenendo mzima uliendelea kuharibiwa huku kanuni zikibadilishwa kila mara kwa nia ovu. Lakini waliochangia uhuni ule ni wanaccm.
 
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali watetezi wa nafasi zao, watetezi wa masilahi yao,

Paza sauti katiba ibadilishwe kipengele cha ukomo wa mbunge na cha kiwango cha elimu ya mbunge, zama hizi kuwa na mbunge mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa, wakati mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari sifa ya kwanza awe na elimu ya kidato cha nne, lkn mbunge mtunga sheria,

Msimamizi wa serikali, mwakilishi wa wananchi sifa yake kubwa kujua kusoma na kuandika ni aibu kubwa kwa nchi
Nani kusema hapo hupati hata mmoja hao jamaa wote wawapo bungeni wanatetea maswali yao kwanza na huwa wabunge wa upinzani wanafiki na ccm wakipitisha masilahi yenu manufacturers kwao
 
Back
Top Bottom