Jambo na Vijambo imerudi kwa kishindo

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
18,323
Reaction score
26,176
Kipindi cha vichekesho chenye ubunifu wa aina yake na mimi nimiongoni mwa fan wa kipindi hiki Cha Jambo na Vijambo ambacho hapo awali kilikuwa kikirushwa na East Africa TV na kilikaa muda mrefu karibia miaka 2 hakijarushwa na tulikimisi sana sasa kimerudi rasmi kupitia Wasafi TV.

Stay turned.
 
Stay Tuned

Hakitakuwa kizuri na bora kama kilivyokua EATV.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hawa Jamaa wana kipaji sana ila wamekuwa hawana bahati kabisa
 
Session ya cha uroho Kazoa huwa anafurahisha sana....popote ulipo Kazoa agiza sanitizer nakuja kulipa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wapo wasafi tv kipindi kinarushwa alhamisi saa 3 usiku Jana nilipata msemo mpya kwao hasa yule wa maneno kumi imebadilishwa tu jina hiyo segment kinaitwa poyoyo anakuambia Kuna Kiki za aina mbili Kiki ya pikipiki na Kiki ya bajaji.
 
Amenichekesha jana hasa pale aliposema "Haiwezekani sindano achomwe kurwa kupona apone Dotto"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…