Wana Mmu tujadili hili.
Hivi kwa nini wakaka wakiwa na mademu wengi anasifiwa ni lijali na mdada akiwa na madanga I mean mabwana wengi anaitwa malay.??
Wakati jambo linalofanyika ni lile lile MAPENZI.
!!!!!!!!!
Wewe unasemaje katika hili wana MMU
Mwanamke ni delicate viungo vyetu vya uzazi havitaki mipini ming...magonjwa mengi...kutoa mimba kutaweza kukufanya uwe tasa au upate kansa..mwanamke kujitunza
Ila mwanaume lijali jembe akiwa na mademu ila ni janga zaid ya mwanamke Malaya ..siku utakayosikia ni shoga
Hebu pata huu mfano
hivi ukiwa na kitasa kinachofunguliwa na kila funguo jukumu lako ni kukitoa hakifai kwa matumizi kwa kuwa sio salama
Ila ukiwa na funguo inayofungua milango yote hio funguo utitunza na heshima utaiita master key haya hapo leta kwenye maisha halisi
mwanamke akitumika sana anafuja yaani anafubaa tofauti na mwanaume yeye huongeza ujuzi
unabisha ?