Bila shaka limeamua kufanya propaganda kwa kuujifanya limehoji wanamtwara na wakakubaliana kuwa sasa gesi inatoka na wamekubali kubadili kauli kuwa "gesi haitoki" hadi kuwa "gesi inatoka".
Kuna udhaifu mkubwa sana kwenye sheria zetu! Sheria zina semaje kuhusu vyombo vya habari kuandika propaganda na uwongo kwenye masuala nyeti?!