Wadau wa elimu poleni na majukumu. Hivi imeshawahi kutokea shule nyingine wanafunzi wamemaliza kidato cha nne, matokeo yametoka halafu wazazi wanaitwa kwenye kikao cha wazazi na wanafunzi waliomaliza shule hiyo?
Huu hapa ni wito wa kikao cha wazazi kutoka Shule ya Alliance Girls Mwanza:
Ndugu mzazi wa mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana 2017 na matokeo kutoka mwaka huu 2018 Alliance Girls wote waliofanya mtihani kwa kituo cha Nganza ns Rock Army tunawatangazia kikao cha wazazi na wanafunzi kwa vituo hivyo kufika tarehe 18/2/2018 Jumapili saa tatu kamili asubuhi, kikao hicho kitafanyikia Alliance Primary, kuna taarifa muhimu sana fika bila kukosa, By Mkuu wa Shule Alliance Girls.
Tushirikishane
Huu hapa ni wito wa kikao cha wazazi kutoka Shule ya Alliance Girls Mwanza:
Ndugu mzazi wa mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana 2017 na matokeo kutoka mwaka huu 2018 Alliance Girls wote waliofanya mtihani kwa kituo cha Nganza ns Rock Army tunawatangazia kikao cha wazazi na wanafunzi kwa vituo hivyo kufika tarehe 18/2/2018 Jumapili saa tatu kamili asubuhi, kikao hicho kitafanyikia Alliance Primary, kuna taarifa muhimu sana fika bila kukosa, By Mkuu wa Shule Alliance Girls.
Tushirikishane