dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,058
Aisee mimi nilikuwa nafukuzia manzi (bonge la pisi ana tako sura usiseme) ila alikua na mchizi wake akawa ananikazia japo kwa mbali kulikuwa na matumaini kidogo.
Sasa manzi akashika mimba ya mchizi wake mimi sijui na hapo ni kama miezi miwili namfukuzia hata game sijapewa bado. Sasa kabla ajamwambia mwamba ana mimba yake jamaa akatoa boko akazingua wakaachana.
Mwanaume nikapewa nafasi lakini akanichana ana mimba ya ex wake na jamaa hajui ila yuko tayari tuwe wote kwa sasa kwa sababu kaachana na jamaa mazima
Hapo nikakumbuka maneno ya mzee wangu aliniambia ukiniletea mwanamke ana mtoto lakini sio wako sitokukatilia ila utakuwa umenidisappoint sana wanawake wote waliopo ufate mwenye mtoto?
Ikabidi nimwambie live manzi mimi maishani sijawahi kufikiria kuoa mke tayari ana mtoto so kama kweli yuko tayari aitoe kwanza mimba tuanze upya wote. Manzi akasema atajifikiria then ataniambia
Basi kesho yake dem akanichana yuko tayari kuitoa ili tuwe wote kidume nikazama pharmacy kutafuta dawa za kutoa mimba nikampelekea kwake nikamuachia akameza mimi nikarudi home maana hakutaka akati anameza mimi niwepo
Baada ya kama lisaa maumivu ya tumbo yakawa makali kwa kujitia najali nikamfata nikamleta ghetto ili niwe nampa kampani asiwe peke yake
Kiukweli ule usiku ulikuwa mrefu sana maana sikulala mtu analalamika tu tumbo kulivyokucha nilishukuru sana mungu lakini ile hali ikaendelea kumbe haikutoka fresh ikabdi nitafute hospitali wakamsafishe ndio akaja akapona sasa.
Kiukweli nilijiona fala nikawaza huyu angekata moto humu ndani ingekuwaje maana jela ilikuwa inaniita maana aliishi na maumivu kwangu kama wiki mpaka kusafishwa
Sasa manzi akashika mimba ya mchizi wake mimi sijui na hapo ni kama miezi miwili namfukuzia hata game sijapewa bado. Sasa kabla ajamwambia mwamba ana mimba yake jamaa akatoa boko akazingua wakaachana.
Mwanaume nikapewa nafasi lakini akanichana ana mimba ya ex wake na jamaa hajui ila yuko tayari tuwe wote kwa sasa kwa sababu kaachana na jamaa mazima
Hapo nikakumbuka maneno ya mzee wangu aliniambia ukiniletea mwanamke ana mtoto lakini sio wako sitokukatilia ila utakuwa umenidisappoint sana wanawake wote waliopo ufate mwenye mtoto?
Ikabidi nimwambie live manzi mimi maishani sijawahi kufikiria kuoa mke tayari ana mtoto so kama kweli yuko tayari aitoe kwanza mimba tuanze upya wote. Manzi akasema atajifikiria then ataniambia
Basi kesho yake dem akanichana yuko tayari kuitoa ili tuwe wote kidume nikazama pharmacy kutafuta dawa za kutoa mimba nikampelekea kwake nikamuachia akameza mimi nikarudi home maana hakutaka akati anameza mimi niwepo
Baada ya kama lisaa maumivu ya tumbo yakawa makali kwa kujitia najali nikamfata nikamleta ghetto ili niwe nampa kampani asiwe peke yake
Kiukweli ule usiku ulikuwa mrefu sana maana sikulala mtu analalamika tu tumbo kulivyokucha nilishukuru sana mungu lakini ile hali ikaendelea kumbe haikutoka fresh ikabdi nitafute hospitali wakamsafishe ndio akaja akapona sasa.
Kiukweli nilijiona fala nikawaza huyu angekata moto humu ndani ingekuwaje maana jela ilikuwa inaniita maana aliishi na maumivu kwangu kama wiki mpaka kusafishwa