Jambazi lau OCD CID Newala,askari mmoja na raia

hii inasikitisha ....ila kinachosikitisha zaidi ni kwamba...watu 3 wameuawa kisa MILION 3 yaani 3,000,000...nadhani kwa great thinkers hii inamaana kubwa sana...#ponder .it:sad::sad:
 
Wanafanya uzembe silaha zinapitishwa kwenye mabegi tena wengine wakipewa rushwa ili wasiwakamate. Cha kushangaza silaha hizo hizo zinawaangamiza wenyewe kwanza. Iwe fundisho kwa uzembe unaofanywa na wanaojiita vigogo sijui visukuma au vihaya. Ndo maana hata kagame anakuwa na kiburi kwa tz kwa sababu anajua ujinga ujinga wetu wote.
 
Sidhani kama upo sawa kichwani we fa.ra..si.
Haijalishi ni aina gani ya kifo, lakini kushabikia kifo cha binadamu mwenzako aliyepaswa kuishi sio sahihi kabisa..
Acha siasa kwenye uhai!


Sasa mbona wao wanaminyaga pumbu watu wakiri Lema alirusha Bomu Olasit?
 
Nilisema hawa CHEDEMA wakiingia madarakani sijui watafanya kazi na nani . Hivi kama kuna polisi unasoma comments zenu unadhani atawa-support kwa namna yoyote ile? Badirikeni, kuna mambo ya kudhihaki na mengine kwa utamaduni wa Afrika hatupaswi kudhihaki mfano Kifo. Ndo maana mtu akifariki hata barabarani tu, waungwana hutafuta angalau Khanga wakamfunika bila kujua ni nani na alifanya nini. Ninyi CHADEMA mnataka kutuletea utamaduni wa ajabu. Hii ni mara ya pili, alifariki Mabina makadhihaki sana. Mbona alipofariki Dr Mvungi wa NCCR, wote tulijumuika na kuomboleza? Alifariki Chacha Wangwe, tukashiriki vizuri tu, lakini ninyi!!!!Badirikeni.
 
Mkuu usitegee mm kunikuta poti na ni hivi kwa sababu polisi wa Tanzania wanatumika kisiasa na mimi nasema nao wapigwe tu!
Kumbuka binadamu tunapata majanga katika sehemu tofautitofauti kwa mfano ajali je ikatokea bahati mbaya kwa wewe ukapata ajari katika usafiri, watu wafurahie kwa wewe kupata ajali ? tuacheni siasa, tuweni waungwana
 
Bado hujarekebisha kitu kwani umeombwa uweke source ya taarifa yako ina utata mwingi si katika kifo cha OC-CID bali huyo RPC ZELOTHE STEVIN mbona alishastaafu hapa Dododma 2010 akaongezewa miaka 2 akaondoka 2012 kwenda kwao UMASAINI?
kweli majanga km Said Mwema kenda mficha huko basi tena
ngoja tufuatilie TV na RADIO za FM
Alieleta uzi sio mie, nilichofanya ni kumwonyesha jamaa ufafanuzi kutoka kwa Zephania maana alimuuliza kitu kuhusu hivyo vyeo vya polisi
 
Alieleta uzi sio mie, nilichofanya ni kumwonyesha jamaa ufafanuzi kutoka kwa Zephania maana alimuuliza kitu kuhusu hivyo vyeo vya polisi
samahani Mkuu lengo langu lilikuwa ni Mleta Mada kirobotokiroboto
kuwa Zelothe Stivin alishastaafu 2012
nikiwa na maana nakanyagia mafuta Post yako
au km tunafukuza vile mwizi mmnasaidia kuongeza mayowe
SAMAHANI KWA USUMBUFU ungawa Mada nzima ni ya kweli kabisa mauaji yametokea
 
Back
Top Bottom