Jambazi ‘kinda’ afunga mtaa

Mfumo wa DNA unaufahamu? Huo mfumo unatumika kulinganisha DNA za A na B ili kujiridhisha iwapo huyo A ndiye B au iwapo huyo A ana uhusiano na B. Kwa hiyo ukiwa na A (hilo shati), huwezi kupata ulinganisho wa ushahidi bila kuwa na DNA za B (huyo mtuhumiwa).
 
Hivyo vitoto itakuwa ndio vinavyofundishwa ugaidi. Ila mabosi wao wanafaidika na wizi wao, vyenyewe vinaambiwa "tunampigania Allah"sijui Mungu gani anayeshawishi waumini wawe majambazi ili kumlinda huyo Allah! Ni ajabu sana.
Mwanza ina watoto wengi wa mitaani ambao kama serikali isipofanya jitihada ya kuwarudisha kwenye maisha ya kiraia basi wanaweza kutumiwa na makundi ya watu waovu kuhatarisha amani na usalama wa raia.
 
Eti mikoani kunawanaume haya sasa
 
ingekuwa dar police wangeambiwa kulikuwa na majambazi 30 huku wakiwa ndani ya mageti.
 
Hicho kipaji ni hazina kwa taifa. Nashauri dogo atafutwe ili apewe mafunzo zaidi labda anaweza kuwa kama akina RAMBO baadae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuu Mkuu umetsha
 
Wanaume wanapambana na mtoto wa miaka 15, na akawaponyoka. Angekuwa Scorpion si angewanyoa mavuzi kwa kwanja??
Lakn wameonyesha uthubutu kuwa walitaka kumpa vitasa lakn baada ya kuwachomolea bunduki ndio walirudi nyuma ili kujipanga upya lakn kwa Bahat mbaya ndio akawa amelala mbele...

Sasa dsm hata kujaribu wao hawawezi wao wanachoweza n kukimbia tu na kuwaita porisi
 
Unawe
unaweza kunipa takwimu ya majambazi waliouwawa na raia dar na majambazi waliouwawa na raia mikoani.
 
Huko Nyakato nako wanaishi wanaume wa Dar??
Hapa tunazungumzia bunduki au mapanga na bisibisi za panya road?,achana kabisa na mlio wa bunduki iliyokatwa mtutu,hata mende hujificha!!
 
Kumbe hata wanaume wa mikoani mnaogopa watoto!!!! Hako si kama kapanya road tu kwa kule kipawa ama???
Muache kutusema, kifo hakichagui wa Dar au mporipori.😎😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…