Spider
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,641
- 558
Jambazi mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi.Tukio limemetokea maeneo ya Nyegezi kuelekea chuo kikuu cha SAUT, Kituo kidogo kwa jina la 'Rose'.
Majambazi walikuwa watatu, na walikuwa wakirushiana risasi na polisi, wawili mamekimbia.
Wametelekeza gari waliyokuwa nayo aina ya mark II.
Sijafanikiwa kupata picha. Haijafahamika walipokuwa wameiba.
Majambazi walikuwa watatu, na walikuwa wakirushiana risasi na polisi, wawili mamekimbia.
Wametelekeza gari waliyokuwa nayo aina ya mark II.
Sijafanikiwa kupata picha. Haijafahamika walipokuwa wameiba.