Jambar f1 hybride onions

Jambar f1 hybride onions

london1

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
430
Reaction score
947
Habari wanajamii,naomba msaada wa maelezo kwa mtu anayejua.Natafuta mbegu za vitunguu hapo tanzania,jina ni kama la hapo juu yaani;Jambar f1 hybride onions.Sijui kwa lugha ya nyumbani vinaitwaje.kama mtu ana maelezo yoyote nitashkuru.unaweza ku ni pm kama una malezo ya kutosha.Thanks in advance.
 
Back
Top Bottom