Habari wanajamii,naomba msaada wa maelezo kwa mtu anayejua.Natafuta mbegu za vitunguu hapo tanzania,jina ni kama la hapo juu yaani;Jambar f1 hybride onions.Sijui kwa lugha ya nyumbani vinaitwaje.kama mtu ana maelezo yoyote nitashkuru.unaweza ku ni pm kama una malezo ya kutosha.Thanks in advance.