kaa mguu ndani ,mguu nje.
Mm mtoto cna tabu nae ntalea tuu,npo ready kwa bt hyu mume acje akanpotezea muda bure
Nna boyfriend ambae baadae natarajia kua mme wangu mtarajiwa,wakati ananapproach alniambia km alkua n demu lakini aliachana nae kwa bahati mbaya wakati wanaachana kumbe hyo msichana alikua na mimba ya huyo boyfriend wangu,n mwnyw alniambia na akaniomba Ushauri coz alkua anasema aikatae mimba huenda Co yake, bt m nkamshauri ackatae incase n yake ajue namna ya kujipanga. Mtoto akazaliwa copyright n hyo boyfriend wangu. Tatizo langu n kwamba huyu boyfriend wangu ataendelea kua na msimamo na mm ama atarudi kwa msichana aliezaa nae?
Yap nlkua nae bt tliachana kabla cjampata hyu wa sasa
Lol, una ushauri wa giza wewe!Kama vp mrudie akudunge mimba ili heshima iwepo
Kweli yamekukuta,kama anakupenda nadhani atamtunza mtoto na kuendelea na msimamo wake kwako
lakini kama ndo mambo yetu yale ya ooh nilienda kuona mtoto shetani akanipitia
Mdada ataongeza mtoto wa pili kufumba na kufumbua ooh sorry Amyner nimeamua kumuoa mama watoto wangu.
Kumbuka mke/mme mwema hutoka kwa mungu
Ujue wewe ndo uliwaachanisha, maana mpaka demu ana mimba siyo rahisi kuachana...
Nna boyfriend ambae baadae natarajia kua mme wangu mtarajiwa,wakati ananapproach alniambia km alkua n demu lakini aliachana nae kwa bahati mbaya wakati wanaachana kumbe hyo msichana alikua na mimba ya huyo boyfriend wangu,n mwnyw alniambia na akaniomba Ushauri coz alkua anasema aikatae mimba huenda Co yake, bt m nkamshauri ackatae incase n yake ajue namna ya kujipanga. Mtoto akazaliwa copyright n hyo boyfriend wangu. Tatizo langu n kwamba huyu boyfriend wangu ataendelea kua na msimamo na mm ama atarudi kwa msichana aliezaa nae?
Nna boyfriend ambae baadae natarajia kua mme wangu mtarajiwa,wakati ananapproach alniambia km alkua n demu lakini aliachana nae kwa bahati mbaya wakati wanaachana kumbe hyo msichana alikua na mimba ya huyo boyfriend wangu,n mwnyw alniambia na akaniomba Ushauri coz alkua anasema aikatae mimba huenda Co yake, bt m nkamshauri ackatae incase n yake ajue namna ya kujipanga. Mtoto akazaliwa copyright n hyo boyfriend wangu. Tatizo langu n kwamba huyu boyfriend wangu ataendelea kua na msimamo na mm ama atarudi kwa msichana aliezaa nae?
Kama vp mrudie akudunge mimba ili heshima iwepo