Wana jf tunaomba ushauri wenu juu ya mada hapo juu!baadhi yetu ambao tunastahili ya kupewa nyumba tumepangishiwa nyumba uraiani na kodi hazilipwi na jeshi hili kiasi cha sisi kupata shida kwa raia wenzetu waliotuonea huruma na kukubali kuingia mkataba na jeshi
hakika tunadahalilika na sijui hatima yetu