Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 2,626
- 3,863
Asingekuwa na watoto angeomba nauli, mtu wa hovyo ni wa hovyo tuMtoto katumika kuomba pesa. Aliomba pesa ya kumlipa mtu wa kukaa na mtoto wake wakati atakapokuwa kwa kijana.
Huyo anakutumia kifinancially tu...ingekuwa kakuelewa angekuwa kashakupea kitambo bila hata kuomba kwa jinsi ulivyomjali.nilianzisha mahusiano na mdada mwenye mtoto mmoja na aitelekezwa nikawa namjali sana huduma kila siku baada ya miezi 2 nikaomba penzi...we akasema sawa siku ya mechi kasema nitume hele ya mtu wa kubaki na mtoto nikatuma 20 mpaka leo siku ya 5 yupo kimya na mimi sijamtafuta sasa siku ajichaganye ni 5 na mazoea sitaki
Safi sana, kuna mambo yanafurahisha sana...
Kapigwa mchana kweupeee/ hapendwi!Safi sana, kuna mambo yanafurahisha sana...
Akili imemkaa sawa...Kapigwa mchana kweupeee/ hapendwi!
Haha pole yake sana!Akili imemkaa sawa...
Nipe no. yakenilianzisha mahusiano na mdada mwenye mtoto mmoja na aitelekezwa nikawa namjali sana huduma kila siku baada ya miezi 2 nikaomba penzi...we akasema sawa siku ya mechi kasema nitume hele ya mtu wa kubaki na mtoto nikatuma 20 mpaka leo siku ya 5 yupo kimya na mimi sijamtafuta sasa siku ajichaganye ni 5 na mazoea sitaki
Hujawahi kunipiga sweetheart...Haha pole yake sana!
Vipi weye hujawahi pigwa ????