Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 416
Kwe2niKwe2 lakini si haki. Hivi mnajua kama mioyo yetu ni miepesi sana? Kama ni kicheche ndio utake kuonja mchuzi. Ila dah umenichoma moyo maana wengine tuna maradhi ya kupenda na kutendwa
Duh pole sana, inauma lakini ndio mambo yenyewe! Unajua mapenzi ya kweli na matamu ni yale below the age 20, after that ni kufanya timing tu!