Jamani wanaume wana upendo sana kwa wanawake!

Jamani wanaume wana upendo sana kwa wanawake!

Ok

hapo kwenye kuunga mkono hoja hapoooo ndo sijaafiki.ni kutamani papuchi tu lkni hakuna upendo wowote.inshort ni tamaa tu
Eeee[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] how sure you are
 
hata sisi hatupendi kumbebesha mmoja majukumu yote. Ndo maana nasisi hatupo nyuma kwa huruma juu yenu tuna wakusanya wengi kila mtu anapewa task yake. Maana hakuna maisha mengine tofauti na haya zaidi ya myth stories
 
muombee tu mpenzi wako aepushwe majaribu manake ni hatarii...

Eeeh Mola epushia mbali janga na kila jaribu lolote lisimpate mwandani wangu Smart911
He's my one and only

vunja nira za kila aina za adui mwovu shetani iwe hapa jf ofisini mtaani ama kwa barabara wakapate kushindwaa.......

I ask these through JESUS christ our savior, Aimennnn!
 
Eeeh Mola epushia mbali janga na kila jaribu lolote lisimpate mwandani wangu Smart911
He's my one and only

vunja nira za kila aina za adui mwovu shetani iwe hapa jf ofisini mtaani ama kwa barabara wakapate kushindwaa.......

I ask these through JESUS christ our savior, Aimennnn!

mahondaw wangu...
Nothing's gonna change my love for you, You gat to know by now how much I love you...
One thing you can be sure of, i will never ask for more than your love...
 
Mimi kama me, huwa mwanamke yoyote ninapo muona tu namuonea huruma ,hadi natamani kumsogelea niongee naye, sijui sijui ndio upendo wenyewe huu au …
 
mahondaw wangu...
Nothing's gonna change my love for you, You gat to know by now how much I love you...
One thing you can be sure of, i will never ask for more than your love...


Thanks alot Smart911 love sijui hata nisemeje yani unanipa amani kiasi kwamba dahhhhhhhhhhhhhh..........


I feel blessed having you Smart911 in my hands

I love you forever and ever swirly

Bakinamimi bebiii
 
Moyo wangu sukuma damu,

Mengine achana nayo kabisa[emoji19] [emoji19]
 
Back
Top Bottom