Jamani wanaume wana upendo sana kwa wanawake!

Jamani wanaume wana upendo sana kwa wanawake!

Hivi huo ni upendo au tamaa zinazo ongozwa na msukumo wa kichwa cha chini
 
sasa tusipowapenda watafanyaje..idadi yao ni kubwa aisee..wanaume tujitahidi sana tuwe hata na wa ziada watatu au wanne...
 
Smart911 sweetheart eti nikweli???

[HASHTAG]#Bakinamimimimi[/HASHTAG]
mahondaw wangu... Hapo kuna mapenzi na tamaa...

Kuwa na mmoja na kubaki nae huyo huyo kati ya hao 100 ni upendo...

Kuwa na mmoja na ukaendelea kutamani waliyobaki kati ya hao 100 ni tamaa, wala siyo upendo...


Smart911 love mahondaw sana... Haoni, hasikii anyone apart from my lady mahondaw...
 
ca6fc6fea0a669a86f2c755fd622d0ea.jpg
 
Back
Top Bottom