Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,052
Yaan we iyo namba mbili uigopi..
Hiyo nikijua location yake naenda kuoa ...
Yaan we iyo namba mbili uigopi..
kufanyaje?Duh,..
Hata mchepuko wangu wa Kondoa huyu hagusi...Tanzania ni Tajiri tutembee wapo wengi

Hata mchepuko wangu wa Kondoa huyu hagusi...Tanzania ni Tajiri tutembee wapo wengi![]()
HahahaUmpeleki mtu Burundi wala Congo, sisi ni wa hapa hapa...
![]()
kwani unajua kuvuka mto kagera?
kijijini kuna raha zake, hapo umetoka kupiga michembe na maziwa ya mgando, ebo!Umpeleki mtu Burundi wala Congo, sisi ni wa hapa hapa...
![]()