Jamani twendeni Burundi

Jamani twendeni Burundi

Pezutto

Senior Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
187
Reaction score
201
Screenshot_2017-05-06-06-41-56.jpg
 
Mbona kawaida sana alafu watu mnashoboka hivyo
 
Hapa PK lazima atutawale tu maana anazo silaha za weapons of mass destruction za wanawake angalia Watanganyika wanavyopagawa wa wadada wa kitussi mtakuwa na uwezo wa kuzuia IT kutoka kule kweli? kama vipicha vya wadada tu karibia mnafika Kileleni kihisia ! !!
 
urembo wa sura tu. ila sijaona hata mrembo wa kuogopa kumwacha na mume wako, ukawa na wasiwasi .
Lakini inafurahisha kumbe Bujumbura bado kuna women of colour??? Huku kwetu wamekua nadra sana
 
Hiyo rwanda mkuu,,watoto wa burundi wakasome kwa wanyaruanda,,huku mtusi kule mhutu,,,
 
Back
Top Bottom