Jamani tumsikilize mtabiri huyu

Jamani tumsikilize mtabiri huyu

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Mtabiri mmoja ambae hakutaka kina lake litajwe , ambae makazi yake nje kidogo ya jiji la daresalam ila kazi zake hufanyia katikati ya jiji hilo , ameibuka na kuwaasa watanzania kupunguza safari hasa za masafa marefu kwa mujibu wa utabiri wake alioutoa mwanzoni mwa mwaka , kwamba kutakuwa na mfululizo wa ajari ambapo watu wengi watapoteza maisha katikati ya mwezi february na june, yaani march, april na may, na ajari hizo zitaitimishwa na ajari kubwa ya majini itakayotokea kati kati May mwishoni mwa May ambapo watu wengi watapoteza maisha, amesema watu wasisahau misikitini , makanisani kumuomba mungu aepushe hilo, ila kuanzia july hakutakuwa na ajari Zinazoghalimu maisha ya watu wengi kwa mara moja:
 
Kwa hiyo tuwasiliane na nani ili tumpate huyo mtabiri nataka anitabirie siku ya kufa kwangu
 
Tatizo la wa tz tunafuata upepo. Basi wimbi la ajali limeongezeka watu wanapoteza maisha watu washaanza kutaka ujiko. Tuangalie katika vitu vya kujisifia
 
Ajari= Ajali ... Sasa mtabiri hakuona nini chakufanya ili kuepushaa?
 
Mtabiri mmoja ambae hakutaka kina lake litajwe , ambae makazi yake nje kidogo ya jiji la daresalam ila kazi zake hufanyia katikati ya jiji hilo , ameibuka na kuwaasa watanzania kupunguza safari hasa za masafa marefu kwa mujibu wa utabiri wake alioutoa mwanzoni mwa mwaka , kwamba kutakuwa na mfululizo wa ajari ambapo watu wengi watapoteza maisha katikati ya mwezi february na june, yaani march, april na may, na ajari hizo zitaitimishwa na ajari kubwa ya majini itakayotokea kati kati May mwishoni mwa May ambapo watu wengi watapoteza maisha, amesema watu wasisahau misikitini , makanisani kumuomba mungu aepushe hilo, ila kuanzia july hakutakuwa na ajari Zinazoghalimu maisha ya watu wengi kwa mara moja:

ACHA KUHARIBU LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI ajari NDO NINI:what:NYOOSHA MSAMIATI EBOOH!
 
Aisee! kwahyo hapa usalama utarudi mwezi may baada ya ajali ya meli
 
Mtabiri mmoja ambae hakutaka kina lake litajwe , ambae makazi yake nje kidogo ya jiji la daresalam ila kazi zake hufanyia katikati ya jiji hilo , ameibuka na kuwaasa watanzania kupunguza safari hasa za masafa marefu kwa mujibu wa utabiri wake alioutoa mwanzoni mwa mwaka , kwamba kutakuwa na mfululizo wa ajari ambapo watu wengi watapoteza maisha katikati ya mwezi february na june, yaani march, april na may, na ajari hizo zitaitimishwa na ajari kubwa ya majini itakayotokea kati kati May mwishoni mwa May ambapo watu wengi watapoteza maisha, amesema watu wasisahau misikitini , makanisani kumuomba mungu aepushe hilo, ila kuanzia july hakutakuwa na ajari Zinazoghalimu maisha ya watu wengi kwa mara moja:

Kweli Tanzania tuko kwenye kipindi cha maangamizi. Watu hawajui hata kuandika, ni uvivu na uzembe kwa sana, wanaamini uchawi kama chakula na kila kitu kwao ni uchawi. Suluhusho la matatizo? ni kwa waganga wa kienyeji, misikitini au makanisani!
 
Kweli tupo kizembezembe kila kitu mapenzi ya Mungu. Wakati Mungu ametujalia akili na hekima ili tuweze kuamua mambo yatuhusuyo kwa hekima. Na ndo maana tunaambiwa tukitenda kinyume na amri zake tutahukumiwa. Kwa hyo km kila kitu Mumgu ndio anatufanyia basi tuamini kuwa hatA tukivunja amri zake inabidi asituhukumu kwa kuwa HATUNA AKILI.
 
Mtabiri mmoja ambae hakutaka kina lake litajwe , ambae makazi yake nje kidogo ya jiji la daresalam ila kazi zake hufanyia katikati ya jiji hilo , ameibuka na kuwaasa watanzania kupunguza safari hasa za masafa marefu kwa mujibu wa utabiri wake alioutoa mwanzoni mwa mwaka , kwamba kutakuwa na mfululizo wa ajari ambapo watu wengi watapoteza maisha katikati ya mwezi february na june, yaani march, april na may, na ajari hizo zitaitimishwa na ajari kubwa ya majini itakayotokea kati kati May mwishoni mwa May ambapo watu wengi watapoteza maisha, amesema watu wasisahau misikitini , makanisani kumuomba mungu aepushe hilo, ila kuanzia july hakutakuwa na ajari Zinazoghalimu maisha ya watu wengi kwa mara moja:

Hii mara ya pili humu jf nasikia habari ya ajali ya meli itakayotokea kati ya may na july
 
Kweli Tanzania tuko kwenye kipindi cha maangamizi. Watu hawajui hata kuandika, ni uvivu na uzembe kwa sana, wanaamini uchawi kama chakula na kila kitu kwao ni uchawi. Suluhusho la matatizo? ni kwa waganga wa kienyeji, misikitini au makanisani!

Wewe siyo mvivu wa kuandika ila kuna kitu umekalia kizito!!
 
Mtabiri mmoja ambae hakutaka kina lake litajwe , ambae makazi yake nje kidogo ya jiji la daresalam ila kazi zake hufanyia katikati ya jiji hilo , ameibuka na kuwaasa watanzania kupunguza safari hasa za masafa marefu kwa mujibu wa utabiri wake alioutoa mwanzoni mwa mwaka , kwamba kutakuwa na mfululizo wa ajari ambapo watu wengi watapoteza maisha katikati ya mwezi february na june, yaani march, april na may, na ajari hizo zitaitimishwa na ajari kubwa ya majini itakayotokea kati kati May mwishoni mwa May ambapo watu wengi watapoteza maisha, amesema watu wasisahau misikitini , makanisani kumuomba mungu aepushe hilo, ila kuanzia july hakutakuwa na ajari Zinazoghalimu maisha ya watu wengi kwa mara moja:

Tunakataaa tunakemea kwa jina la Yes,ni makafara na matambiko hayo ya wanywa damu!! Hatutakufa kwa hizo ajali sawasawa na neno la Bwana, 'hatutakufa hakika bali tutaishi'
 
Wewe siyo mvivu wa kuandika ila kuna kitu umekalia kizito!!

Hao! hao! hao! Ukiwaambia wasiwaze uchawi bali wafanye kazi kwa bidii wanakuja na matusi wanayofikiri yanaonyesha ujanja walio nao!
 
Back
Top Bottom