Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
sio maumbile ni malezi
hasa under 10years uliishije
at some point mama yako alikuacha?
Uliishi kwa ndugu?
Ulikaa na maids wakakumistreat?
Shuleni were you free?au ulikuwa unaishi under pressure?
Kwa wazazi usimwache mwanao before 12 kuna vitu naamini huwa anakosa
jichunguze utagundua tatizo lilianzia wapi
hasa under 10years uliishije
at some point mama yako alikuacha?
Uliishi kwa ndugu?
Ulikaa na maids wakakumistreat?
Shuleni were you free?au ulikuwa unaishi under pressure?
Kwa wazazi usimwache mwanao before 12 kuna vitu naamini huwa anakosa
jichunguze utagundua tatizo lilianzia wapi
Nilivyomaliza fomfoo nilikaa tandika uswazi kabisa kwenye vyumba vya uwani na sis wangu; nilikuwa natika nje jioni baada ya Sis kutoka job. Niitwa majina yote hayo; ni maumbile tu!