Magwira
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 371
- 114
Wana JF,
Mtusaidie wana Ruvuma tupo kwenye limbi kubwa jeusi na zito la ukosefu wa Elimu ya URAIA. Ndo maana CCM tunakiona kama chama kutoka kwa Mungu.
Wanaharakati tunatamani sana mabiliko ila elimu ya demokrasia hatuna tunafiri ni vita. Umaskini na upofu ni kikwazo. Mje mtupe ujasiri.
AMEN
Mtusaidie wana Ruvuma tupo kwenye limbi kubwa jeusi na zito la ukosefu wa Elimu ya URAIA. Ndo maana CCM tunakiona kama chama kutoka kwa Mungu.
Wanaharakati tunatamani sana mabiliko ila elimu ya demokrasia hatuna tunafiri ni vita. Umaskini na upofu ni kikwazo. Mje mtupe ujasiri.
AMEN