Jamani Triple A hamumuoni Brown Masai?

shetani mzee

Member
Jun 1, 2017
21
27
Mi ni miongoni mwa msikilizaji mkubwa wa redio hii ila kinachonikera sana ni jinsi huyu mtangazaji wenu Masai ! Kila akiendesha kipindi na mtangazaji yeyote yule utamsikia yeye tu anazungumza hampi nafasi mwenzie aongee ! Mwenzie akiongea anampandia juu mazungumzo yake yaani hampi nafasi mwenzie aongee yaani ana-dominate kipindi yeye tu ananikera sana huyu mtangazaji naomba awe yeye tu anaongoze kipindi bila wenzie kuwepo maana nahisi anapenda sifa sana nawaonea huruma sana wenzie maana hawasikiki kabisa !! Nawasilisha naomba uongozi umwangalie maana hatupendi hiyo tabia !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameenda kumuokota mmasai huko loliondo wanategemea nini....radio nyingine so unproffessional
 
Radio nyingi za arusha watangazaji hawana mvuto ni kupayuka tuuu na mada za kitoto kila wakati, sijui wanawatoaga wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom