Kumbe ukienda huko unaweza isirudi kisa warembo, basi leo ndo nimeelewa kwa nini watu wakienda huo wanaoa na hawarudi makwao tena. Wengine wakistaafu tu wanakimbilia kuishi Tanga!
Kuna jamaa mmoja wa Kigoma, Kibondo alikuja tanag kutafuta maisha akakanyaga anga za wabondei muheza, ndugu zake wanapukutika kwao haeindi msibani atakwenda kwenye ndoa??? kila siku watu wanamwambia arudi hata kwa kusalimia tu wapiiiiiiiiiiiiiiiii, miaka inakatika na kukatika.
Kuna ndugu yao mmoja ni mwajiriwa benki kuu, aliwasha cruser dar mpaka tanga, alipofika akamwambia nimekufuata twende nyumbani dar kuna shida zakifamilia na upate kusherehekea chrismas na ndugu zako, ukimaliza utarejea, jamaa alisombwa kama mwizi na akaambiwa usibebe chochote. cruser likapigwa mguu hadi kigoma. jamaa alilalamika na kulia kama kabambikiwa kesi ya ubakaji.
Niajabu yule jamaa hadi leo anasema anatafuta nauli siku akizipata tu anarudi zake tanga, hahahahahaha anapenda tarabu pale kijijini kwao ni yeye tuuuuuuuuu. KARIBU TANGA..... NJOO MCHAFU ......UTARUDI MSAFIIIIIII
Uongo mtupu hakuna kitu kama hicho mi ni mwenyej wa dar na ninaenda sana dar kikaz nakaa wiki hadi mwezi na sikuina kitu kama hiyo naona maajabu tu kwa urogi sawa wanaongoza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.