Jamani taama ya mali! mtatuua!!

Rubi

JF-Expert Member
Oct 5, 2009
1,615
326
Ni hatari kwa afya za wanawake


Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilo Matei.



[FONT=ArialMT, sans-serif]Jeshi la Polisi mkoani Arusha limekamata shehena ya taulo za wanawake bandia maarufu kama Always zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 200.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilo Matei, alisema jana kuwa shehena hiyo ilikamatwa juzi nyumbani kwa mfanyabiashara maarufu mjini hapa katika eneo la Baraa, jina tunahifadhi kwa sababu hatufanikiwa kuzungumza naye. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Matei alisema shehena hiyo ina maboksi zaidi ya 10,000 na zinadhaniwa kuingizwa nchini kutoka China na kusambazwa katika maeneo ya biashara kinyemela.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Aidha, Matei alieleza kuwa polisi walifanikiwa kukamata Always hizo bandia baada ya kupata taarifa kutoka kwa kampuni Procter & Gambo Ltd ya jijini Dar es Salaam ambayo ni wakala aliyeruhusiwa kuingiza bidhaa hizo nchini.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema kampuni hiyo iligundua bidhaa hizo feki kujaa sokoni. [/FONT]
“[FONT=ArialMT, sans-serif]Tulipata taarifa na tukaifanyia kazi na baadaye tukaweza kukamata shehena ya bidhaa hizo zikiwa zimehifadhiwa katika gahala nyumbani kwa mtuhumiwa,” alisema Matei [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kamanda Matei alieleza kuwa pamoja na kukamatwa kwa Always hizo mfanyabiashara huyo hakupatikana nyumbani kwake na ilielezwa kuwa yupo safarini nje ya nchi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Nipashe ilitafuta wataalamu wa mambo ya afya ambao walibainisha bidhaa feki za aina hiyo kusababisha maambukizi ya magonjwa ya zinaa pamoja na fangasi ambao ni hatari kwa afya ya uzazi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Daktari Baraka Mkongo alitaja magonjwa hayo kuwa ni (UTI) ambayo wadudu hushambulia mfumo wa mkojo hatimaye kwenye viungo vya ndani vya uzazi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Mkongo alieleza kuwa athari za maambukizo hayo ni mbaya kwani huweza kuambukiza haraka na hata wakati mwingine huleta mitafaruku ndani ya familia kwani humbukiza haraka wakati wa kufanya tendo la ndoa.[/FONT]
“[FONT=ArialMT, sans-serif]Wakati mwingine ndoa zinaweza kuvunjika kwani mathalani mke akiambukizwa halafu amwambukize mume atamtuhumu mke wake kutembea nje ya ndoa au wakati mwingine wote wawili hutuhumiana na kuleta balaa katika ndoa,” alisema Dk. Mkongo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kumekuwa na wimbi la kuingizwa nchini kwa bidhaa feki kutoka China, nyingi zikiletwa na wafanyabiashara wenye tamaa ya kupata faida ya haraka haraka.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Miongoni mwa bidhaa hizo zikiwa na thamani ya mabilioni zimekuwa zikiteketezwa nchini baada ya kumatwa nchini kufuatia operesheni zinazoendeshwa na Mamlaka za Chakula na Dawa (TDFA), Shirika la Viwango nchini (TBS) wakishirikiana Tume ya Ushindani wa Kibiashara (TFCC). [/FONT]



CHANZO: NIPASHE

Jamani tamaa ya utajiri wa haraka na mali mtatuua! hili ni janga sijui tukimbilie wapi maana kila kukicha ni afadhali ya jana,
 
Tobaaaaaaaaaaaaaaaaa
ni hatari kwa afya za wanawake


kamanda wa polisi mkoani hapa, basilo matei.



[font=arialmt, sans-serif]jeshi la polisi mkoani arusha limekamata shehena ya taulo za wanawake bandia maarufu kama always zenye thamani ya zaidi ya sh. Milioni 200.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]kamanda wa polisi mkoani hapa, basilo matei, alisema jana kuwa shehena hiyo ilikamatwa juzi nyumbani kwa mfanyabiashara maarufu mjini hapa katika eneo la baraa, jina tunahifadhi kwa sababu hatufanikiwa kuzungumza naye. [/font]
[font=arialmt, sans-serif]matei alisema shehena hiyo ina maboksi zaidi ya 10,000 na zinadhaniwa kuingizwa nchini kutoka china na kusambazwa katika maeneo ya biashara kinyemela.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]aidha, matei alieleza kuwa polisi walifanikiwa kukamata always hizo bandia baada ya kupata taarifa kutoka kwa kampuni procter & gambo ltd ya jijini dar es salaam ambayo ni wakala aliyeruhusiwa kuingiza bidhaa hizo nchini.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]alisema kampuni hiyo iligundua bidhaa hizo feki kujaa sokoni. [/font]
“[font=arialmt, sans-serif]tulipata taarifa na tukaifanyia kazi na baadaye tukaweza kukamata shehena ya bidhaa hizo zikiwa zimehifadhiwa katika gahala nyumbani kwa mtuhumiwa,” alisema matei [/font]
[font=arialmt, sans-serif]kamanda matei alieleza kuwa pamoja na kukamatwa kwa always hizo mfanyabiashara huyo hakupatikana nyumbani kwake na ilielezwa kuwa yupo safarini nje ya nchi.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]nipashe ilitafuta wataalamu wa mambo ya afya ambao walibainisha bidhaa feki za aina hiyo kusababisha maambukizi ya magonjwa ya zinaa pamoja na fangasi ambao ni hatari kwa afya ya uzazi.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]daktari baraka mkongo alitaja magonjwa hayo kuwa ni (uti) ambayo wadudu hushambulia mfumo wa mkojo hatimaye kwenye viungo vya ndani vya uzazi.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]mkongo alieleza kuwa athari za maambukizo hayo ni mbaya kwani huweza kuambukiza haraka na hata wakati mwingine huleta mitafaruku ndani ya familia kwani humbukiza haraka wakati wa kufanya tendo la ndoa.[/font]
“[font=arialmt, sans-serif]wakati mwingine ndoa zinaweza kuvunjika kwani mathalani mke akiambukizwa halafu amwambukize mume atamtuhumu mke wake kutembea nje ya ndoa au wakati mwingine wote wawili hutuhumiana na kuleta balaa katika ndoa,” alisema dk. Mkongo.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]kumekuwa na wimbi la kuingizwa nchini kwa bidhaa feki kutoka china, nyingi zikiletwa na wafanyabiashara wenye tamaa ya kupata faida ya haraka haraka.[/font]
[font=arialmt, sans-serif]miongoni mwa bidhaa hizo zikiwa na thamani ya mabilioni zimekuwa zikiteketezwa nchini baada ya kumatwa nchini kufuatia operesheni zinazoendeshwa na mamlaka za chakula na dawa (tdfa), shirika la viwango nchini (tbs) wakishirikiana tume ya ushindani wa kibiashara (tfcc). [/font]



chanzo: Nipashe

jamani tamaa ya utajiri wa haraka na mali mtatuua! Hili ni janga sijui tukimbilie wapi maana kila kukicha ni afadhali ya jana,
 
Du! Kumbe ndo sababu ugonjwa wa 'fungus' umekuwa ni tatizo sugu kiasi hiki. Hii ni HATARI!
 
Jamani hii nchi inakotupeleka siko. Wanamama tuamke, kwa nini tusiandamane hadi huko TBS au siju TFD? wanataka kutufanyaje hawa? Wamegeuza hii nchi kuwa fake kiasi hicho? I am fed up with this country....but why? mbona hata kenya tu hapa hakuna wachina wengi na bidhaa zao feki kama hapa tz?
 
Akiyamungu nikigundua mtu anacheza na Afya ya mke wangu, huku akijua...NACHUKUA SHERIA MKONONI....NTAMTOA UTUMBO KIMYAKIMYA.
 
Kweli hii ni hatari sana kwa afya za kina mama. Lakini hii stori naona kama imengizwa thread siyo, ilifaa kuwa habari mchanganyiko. Maana mimi nilipoona heading "Jamani tamaa ya mali...(halafu neno "mtatuua!") silioni nikajua labla kuna "dawa" ya tamaa ya mali imepatikana sasa "JF Doctor" inatuhabarisha, kumbe ni criminal issue. Sasa na wale wanaotuuzia "Tomato source fake za kutengeneza kienyeji", Maji ya kunywa fake, chakula cha juzi, kuku na nguruwe walioshwa ARV?, nao ni JF Doctor stori?. Maana hivi vyote ni kucheza na afya na uhai wa binadamu.

Ushauri kwa MODS "Kulifanya jukwaa hili kuwa genaral zaidi nafikiri lingebadilishwa jina na kuwa "JF Health" au "Jukwaa la Afya" Inasound vizuri kwani afya ni pana zaidi ya Doctor. Ni katika kuboresha tu
 
Jamani hii nchi inakotupeleka siko. Wanamama tuamke, kwa nini tusiandamane hadi huko TBS au siju TFD? wanataka kutufanyaje hawa? Wamegeuza hii nchi kuwa fake kiasi hicho? I am fed up with this country....but why? mbona hata kenya tu hapa hakuna wachina wengi na bidhaa zao feki kama hapa tz?
Jibu ni moja tu, huko bandarini,TRA,TFDA na TBS wote wachumia tumbo hivyo they are all corrupt what do you expect?
 
Kweli hii ni hatari sana kwa afya za kina mama. Lakini hii stori naona kama imengizwa thread siyo, ilifaa kuwa habari mchanganyiko. Maana mimi nilipoona heading "Jamani tamaa ya mali...(halafu neno "mtatuua!") silioni nikajua labla kuna "dawa" ya tamaa ya mali imepatikana sasa "JF Doctor" inatuhabarisha, kumbe ni criminal issue. Sasa na wale wanaotuuzia "Tomato source fake za kutengeneza kienyeji", Maji ya kunywa fake, chakula cha juzi, kuku na nguruwe walioshwa ARV?, nao ni JF Doctor stori?. Maana hivi vyote ni kucheza na afya na uhai wa binadamu.

Ushauri kwa MODS "Kulifanya jukwaa hili kuwa genaral zaidi nafikiri lingebadilishwa jina na kuwa "JF Health" au "Jukwaa la Afya" Inasound vizuri kwani afya ni pana zaidi ya Doctor. Ni katika kuboresha tu

Hapo nilipo - red nakubaliana na wewe.
 
Back
Top Bottom