Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
Ni hatari kwa afya za wanawake
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilo Matei.
[FONT=ArialMT, sans-serif]Jeshi la Polisi mkoani Arusha limekamata shehena ya taulo za wanawake bandia maarufu kama Always zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 200.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilo Matei, alisema jana kuwa shehena hiyo ilikamatwa juzi nyumbani kwa mfanyabiashara maarufu mjini hapa katika eneo la Baraa, jina tunahifadhi kwa sababu hatufanikiwa kuzungumza naye. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Matei alisema shehena hiyo ina maboksi zaidi ya 10,000 na zinadhaniwa kuingizwa nchini kutoka China na kusambazwa katika maeneo ya biashara kinyemela.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Aidha, Matei alieleza kuwa polisi walifanikiwa kukamata Always hizo bandia baada ya kupata taarifa kutoka kwa kampuni Procter & Gambo Ltd ya jijini Dar es Salaam ambayo ni wakala aliyeruhusiwa kuingiza bidhaa hizo nchini.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema kampuni hiyo iligundua bidhaa hizo feki kujaa sokoni. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Tulipata taarifa na tukaifanyia kazi na baadaye tukaweza kukamata shehena ya bidhaa hizo zikiwa zimehifadhiwa katika gahala nyumbani kwa mtuhumiwa, alisema Matei [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kamanda Matei alieleza kuwa pamoja na kukamatwa kwa Always hizo mfanyabiashara huyo hakupatikana nyumbani kwake na ilielezwa kuwa yupo safarini nje ya nchi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Nipashe ilitafuta wataalamu wa mambo ya afya ambao walibainisha bidhaa feki za aina hiyo kusababisha maambukizi ya magonjwa ya zinaa pamoja na fangasi ambao ni hatari kwa afya ya uzazi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Daktari Baraka Mkongo alitaja magonjwa hayo kuwa ni (UTI) ambayo wadudu hushambulia mfumo wa mkojo hatimaye kwenye viungo vya ndani vya uzazi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Mkongo alieleza kuwa athari za maambukizo hayo ni mbaya kwani huweza kuambukiza haraka na hata wakati mwingine huleta mitafaruku ndani ya familia kwani humbukiza haraka wakati wa kufanya tendo la ndoa.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Wakati mwingine ndoa zinaweza kuvunjika kwani mathalani mke akiambukizwa halafu amwambukize mume atamtuhumu mke wake kutembea nje ya ndoa au wakati mwingine wote wawili hutuhumiana na kuleta balaa katika ndoa, alisema Dk. Mkongo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kumekuwa na wimbi la kuingizwa nchini kwa bidhaa feki kutoka China, nyingi zikiletwa na wafanyabiashara wenye tamaa ya kupata faida ya haraka haraka.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Miongoni mwa bidhaa hizo zikiwa na thamani ya mabilioni zimekuwa zikiteketezwa nchini baada ya kumatwa nchini kufuatia operesheni zinazoendeshwa na Mamlaka za Chakula na Dawa (TDFA), Shirika la Viwango nchini (TBS) wakishirikiana Tume ya Ushindani wa Kibiashara (TFCC). [/FONT]
CHANZO: NIPASHE
Jamani tamaa ya utajiri wa haraka na mali mtatuua! hili ni janga sijui tukimbilie wapi maana kila kukicha ni afadhali ya jana,
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilo Matei.
[FONT=ArialMT, sans-serif]Jeshi la Polisi mkoani Arusha limekamata shehena ya taulo za wanawake bandia maarufu kama Always zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 200.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Basilo Matei, alisema jana kuwa shehena hiyo ilikamatwa juzi nyumbani kwa mfanyabiashara maarufu mjini hapa katika eneo la Baraa, jina tunahifadhi kwa sababu hatufanikiwa kuzungumza naye. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Matei alisema shehena hiyo ina maboksi zaidi ya 10,000 na zinadhaniwa kuingizwa nchini kutoka China na kusambazwa katika maeneo ya biashara kinyemela.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Aidha, Matei alieleza kuwa polisi walifanikiwa kukamata Always hizo bandia baada ya kupata taarifa kutoka kwa kampuni Procter & Gambo Ltd ya jijini Dar es Salaam ambayo ni wakala aliyeruhusiwa kuingiza bidhaa hizo nchini.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema kampuni hiyo iligundua bidhaa hizo feki kujaa sokoni. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Tulipata taarifa na tukaifanyia kazi na baadaye tukaweza kukamata shehena ya bidhaa hizo zikiwa zimehifadhiwa katika gahala nyumbani kwa mtuhumiwa, alisema Matei [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kamanda Matei alieleza kuwa pamoja na kukamatwa kwa Always hizo mfanyabiashara huyo hakupatikana nyumbani kwake na ilielezwa kuwa yupo safarini nje ya nchi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Nipashe ilitafuta wataalamu wa mambo ya afya ambao walibainisha bidhaa feki za aina hiyo kusababisha maambukizi ya magonjwa ya zinaa pamoja na fangasi ambao ni hatari kwa afya ya uzazi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Daktari Baraka Mkongo alitaja magonjwa hayo kuwa ni (UTI) ambayo wadudu hushambulia mfumo wa mkojo hatimaye kwenye viungo vya ndani vya uzazi.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Mkongo alieleza kuwa athari za maambukizo hayo ni mbaya kwani huweza kuambukiza haraka na hata wakati mwingine huleta mitafaruku ndani ya familia kwani humbukiza haraka wakati wa kufanya tendo la ndoa.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Wakati mwingine ndoa zinaweza kuvunjika kwani mathalani mke akiambukizwa halafu amwambukize mume atamtuhumu mke wake kutembea nje ya ndoa au wakati mwingine wote wawili hutuhumiana na kuleta balaa katika ndoa, alisema Dk. Mkongo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Kumekuwa na wimbi la kuingizwa nchini kwa bidhaa feki kutoka China, nyingi zikiletwa na wafanyabiashara wenye tamaa ya kupata faida ya haraka haraka.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Miongoni mwa bidhaa hizo zikiwa na thamani ya mabilioni zimekuwa zikiteketezwa nchini baada ya kumatwa nchini kufuatia operesheni zinazoendeshwa na Mamlaka za Chakula na Dawa (TDFA), Shirika la Viwango nchini (TBS) wakishirikiana Tume ya Ushindani wa Kibiashara (TFCC). [/FONT]
CHANZO: NIPASHE
Jamani tamaa ya utajiri wa haraka na mali mtatuua! hili ni janga sijui tukimbilie wapi maana kila kukicha ni afadhali ya jana,