Jamani speed ya Internet ya Voda ni kero!

Jamani speed ya Internet ya Voda ni kero!

Mrimi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,691
Reaction score
640
Jamani hii sasa tabu, siku hizi bundle ya wiki moja(unlimited) Voda ukitumia kidogo tu, speed inadrop hadi 20kb/s or less.Kiukweli hii inabore sana yaani bora hata EDGE kweye Airtel. Mimi nina tumia both, airtel kwa ajili ya kazi ndogondogo hasa ninapokuwa nimeuawa(kiuchumi) na Voda kwa kazi inayohitaji matumizi makubwa ya Mbs. Sasa siku hizi nashindwa kufanya shuguli zangu.

Najua Voda mnapita humu, tafadhali jamani hii ni kero. Kama vipi ni afadhali mkawa specific kwamba nikitoa hiyo 10000/= nijue mapata Mbs ngapi nitumie ziishe nijaze tena kuliko kuniunzia mbuzi kwenye gunia halafu nikifika nyumbani nikifungua nakuta mijusi wawili tu! This' not fair.

Isingekuwa bundles za Airtel ni expensive ningekuwa natumia airtel tu, internet yao ni ya uhakika.
 
MIMI NILIACHAGA VODA UNLIMITED NILIONA HAINA MAANA WANAKUPA UNLIMITED PACKAGE LAKINI SPEED NDOGO AIRTEL NI KIBOKO HATA YALE MASAA YA MCHANA AMBAPO WATU WENGI WANATUMIA INTERNET DOWNLOAD SPEED INAFIKA MPAKA 300Kbps lakini hawana package ya unlimited airtel wakiianzisha package ya unlimited waka charge 45000 kama tigo standard wateja wote wa standard wa tigo watahamia airtel
 
MIMI NILIACHAGA VODA UNLIMITED NILIONA HAINA MAANA WANAKUPA UNLIMITED PACKAGE LAKINI SPEED NDOGO AIRTEL NI KIBOKO HATA YALE MASAA YA MCHANA AMBAPO WATU WENGI WANATUMIA INTERNET DOWNLOAD SPEED INAFIKA MPAKA 300Kbps lakini hawana package ya unlimited airtel wakiianzisha package ya unlimited waka charge 45000 kama tigo standard wateja wote wa standard wa tigo watahamia airtel

Tatizo huku nilipo tunaipata tigo kwenye EDGE tu, hawako kwenye WCDMA so speed yao bado ya ovyo.
 
mie natumia bomba7 kwa wiki moja ni sh. 10,000.
Andika bomba7 tuma 15300
Ni nzuri na ina speed nzuri
 
mie natumia bomba7 kwa wiki moja ni sh. 10,000.
Andika bomba7 tuma 15300
Ni nzuri na ina speed nzuri

Mkuu hiyo bomba7 (tigo) speed inaongezeka kwenye EDGE au inabadilika kuwa WCDMA. Na je ni unlimited au ni bundle ya GB ngapi? Hebu fafanua kidogo.
 
Mkuu hiyo bomba7 (tigo) speed inaongezeka kwenye EDGE au inabadilika kuwa WCDMA. Na je ni unlimited au ni bundle ya GB ngapi? Hebu fafanua kidogo.

bomba saba ni unlimited lakini ukitumia mb 750 speed inashuka mpaka 20-30kbps unakuwa unatumia mpaka siku saba ziishe
 
MIMI NILIACHAGA VODA UNLIMITED NILIONA HAINA MAANA WANAKUPA UNLIMITED PACKAGE LAKINI SPEED NDOGO AIRTEL NI KIBOKO HATA YALE MASAA YA MCHANA AMBAPO WATU WENGI WANATUMIA INTERNET DOWNLOAD SPEED INAFIKA MPAKA 300Kbps lakini hawana package ya unlimited airtel wakiianzisha package ya unlimited waka charge 45000 kama tigo standard wateja wote wa standard wa tigo watahamia airtel

Kuna siku niliongea hapa kumbe tuko wengi,walisema ooooh fiber the dame shit installed lakini no changes man,this shit is deep natamani niwa sue wanilipe mamilioni.......
 
Kuna siku niliongea hapa kumbe tuko wengi,walisema ooooh fiber the dame shit installed lakini no changes man,this shit is deep natamani niwa sue wanilipe mamilioni.......

Nakumbuka.
 
Inategemea eneo ulilopo wanatumia technology gani, EDGE,3G, au WCDMA.
Pia unaweza ukawa eneo lenye Tech ya 3G na bado speed ikawa ndogo sana, hii inatokana na mazingira ya eneo husika mfano
Kama eneo lina miti mingi utasumbuka sana maeneo kama hayo simu (Voice) huapatikana vizuri lakini Internet (Data) huwa slow sana.
 
Jamani hii sasa tabu, siku hizi bundle ya wiki moja(unlimited) Voda ukitumia kidogo tu, speed inadrop hadi 20kb/s or less.Kiukweli hii inabore sana yaani bora hata EDGE kweye Airtel. Mimi nina tumia both, airtel kwa ajili ya kazi ndogondogo hasa ninapokuwa nimeuawa(kiuchumi) na Voda kwa kazi inayohitaji matumizi makubwa ya Mbs. Sasa siku hizi nashindwa kufanya shuguli zangu.

Najua Voda mnapita humu, tafadhali jamani hii ni kero. Kama vipi ni afadhali mkawa specific kwamba nikitoa hiyo 10000/= nijue mapata Mbs ngapi nitumie ziishe nijaze tena kuliko kuniunzia mbuzi kwenye gunia halafu nikifika nyumbani nikifungua nakuta mijusi wawili tu! This' not fair.

Isingekuwa bundles za Airtel ni expensive ningekuwa natumia airtel tu, internet yao ni ya uhakika.


ANDIKA bombaspidi THEN TUMA KWENDA 15300 UNAPEWA PACKAGE AT FULL SPEED

ANDIKA bomba7 THEN TUMA KWENDA 15300 UNAPEWA 750MB AT FULL SPEED KISHA LOW SPEED ADI WIKI IISHE
 
Back
Top Bottom