Jamani shilingi yetu inashuka balaa dhidi ya dolla ya Marekani

dronedrake

JF-Expert Member
Dec 25, 2013
23,171
54,646
Habari za mda huu wana jamii

kwa wenye ujuzi nini kina happen bongoland kwetu au kwa obama maana si kuporomoka uku kwa Tsh. dhidi ya dolari ndani ya siku 2 izi

1 dolari yaelekea 2500 TSh. kwa mdu huu
 
a7ab33f66f21b9d1523d8ec4349511e8.jpg
 
Habari za mda huu wana jamii

kwa wenye ujuzi nini kina happen bongoland kwetu au kwa obama maana si kuporomoka uku kwa Tsh. dhidi ya dolari ndani ya siku 2 izi

1 dolari yaelekea 2500 TSh. kwa mdu huu
Uchumi wetu ni wa kisiasa tena ya majukwaani!! Wa Kenya wanauza maua nje na dola inakuja kwa uwingi, sisi dhahabu wanauza acacia, samaki wanauza wahindi DOLA utaiona wapi?!
 
Kwa waliongalia trend ya shilling yetu dhidi ya dola inashuka balaa kuanzia jioni hiiView attachment 623497View attachment 623498View attachment 623499View attachment 623500

Watu wenye uelewa na hii hali watusaidie jamani.

Je hii haina madhara katika uchumi wetu?
Haina madhara kwa Masikini kama wewe...!
Kwanza huna hata akiba ya Pesa Benki, mshahara wote wa October umekwisha lipia Madeni...!

Dola ya Kimarekani, imewahi kuwa sawa na Shilingi mia moja ya Tanganyika...!!

Umepata Madhira gani Kiuchumi mpaka sasa.

Shukuru Mchele na Sembe ama Ngano, vingali na bei ileile...!
 
Uchumi ndo una panda hivyo.
Lumumba tunaomba mjibu hoja kwa niaba ya mwenyekiti wenu
 
Haina madhara kwa Masikini kama wewe...!
Kwanza huna hata akiba ya Pesa Benki, mshahara wote wa October umekwisha lipia Madeni...!

Dola ya Kimarekani, imewahi kuwa sawa na Shilingi mia moja ya Tanganyika...!!

Umepata Madhira gani Kiuchumi mpaka sasa.

Shukuru Mchele na Sembe ama Ngano, vingali na bei ileile...!
Kwani navyo (mchele/sembe) haviwezibkupanda kupitia hili??
 
YAHOO EXCHANGE BEI NI 220,221 ? nimechek ss hivi bei niyo sidhani kama itapanda kwa 3000? kwa week moja
 
Kwa kuwa tunatumia dola kwa manunuzi ya bidhaa nyingi tarajia mfumoko wa bei ktk bidhaa za electronic ,medicine na magari nk.
b2d1e4dbb8c2a846bd794ff3d6d97827.jpg
 
Back
Top Bottom