abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,293
Habari wadau,
Nimeona niseme jambo kuwa vyama vya upinzani Tanzania vyote vipo kimaslahi zaidi; hamna chama kipo ili kimtumikie mwananchi.
Na kama kweli wapo ili kumtumikia mwananchi kwa yale wanayosema kuwa wanachi tunaibiwa na kufanywa kuwa maskini na CCM hivyo lazima tuitoe madarakani, basi waanze kwanza wao kutokua na Uroho wa Madaraka na kuchumia matumbo yao, yaani ajenda iwe ukombozi na sio Ruzuku.
Chama cha CHADEMA na ACT haviwezi kuungana bila kukubaliana maslahi kwanza.
Pili kuna kiongozi wa CHADEMA yeye yuko tayari kumsapoti ACT katika Urais ila yeye abaki na wabunge wengi sababu anajua kushinda urais si kweli, hivyo yeye anataka chama kibaki kuwa na nguvu, hivyo usishangae kama kweli CHADEMA na ACT wataungana basi mjue tu kauli Itakua "Tunaenda na Membe"
Hapo ndio Msingida Atakapo changanyikiwa. Tujipe Muda.
Nimeona niseme jambo kuwa vyama vya upinzani Tanzania vyote vipo kimaslahi zaidi; hamna chama kipo ili kimtumikie mwananchi.
Na kama kweli wapo ili kumtumikia mwananchi kwa yale wanayosema kuwa wanachi tunaibiwa na kufanywa kuwa maskini na CCM hivyo lazima tuitoe madarakani, basi waanze kwanza wao kutokua na Uroho wa Madaraka na kuchumia matumbo yao, yaani ajenda iwe ukombozi na sio Ruzuku.
Chama cha CHADEMA na ACT haviwezi kuungana bila kukubaliana maslahi kwanza.
Pili kuna kiongozi wa CHADEMA yeye yuko tayari kumsapoti ACT katika Urais ila yeye abaki na wabunge wengi sababu anajua kushinda urais si kweli, hivyo yeye anataka chama kibaki kuwa na nguvu, hivyo usishangae kama kweli CHADEMA na ACT wataungana basi mjue tu kauli Itakua "Tunaenda na Membe"
Hapo ndio Msingida Atakapo changanyikiwa. Tujipe Muda.