VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Jamani Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinatafunwa vilivyo na Makamu Mkuu wa Chuo,Prof.Rwekaza Sympho Mukandara.Kila akienda kwao kwa mapumziko ayatakayo wakati wowote ule(Kagera),hulisafirisha kwenda na kurudi shangingi lake tupu huku yeye akipaa na ndege.Huenda na wapishi wake na walinzi ambao wote hulipiwa na Chuo.Chuo kinadhoofu kwa sababu yake.Ana matumizi mengine mengi mno ya anasa.Huyu mtu hana huruma na fedha za Chuo kabisa....