Biashara haiwez kuwa ngumu kama pesa ipo.
Pole sana mkuu.. Kuna anko wangu alikuwa anatafta sana wafanyakaz wa bar, sema nina 2 weeks simpat kwny mawasiliano.Bushmamy said:Nipeni mchongo aisee. Ntakula watoto
Mtandao ni wa shida sana na ni wa voda tu. Yaan unakamata baadh ya sehemu.Makuku Rey said:Kuna mtandao wa simu? Huko sio porini