Jamani Pesa Imeadimika Mpaka Sana

Jamani Pesa Imeadimika Mpaka Sana

Imhotep said:
Hebu niambie nije na vitu gani vya Survival maji kama Mto si uko karibu na samaki wanapatikana humohumo

Ningependa san nije huko nijibanze kwa miaka kadhaa
Hapana mkuu, mto upo mbali na hapa.
 
Hahaha mnaanza kukimbia vituo vyenu vya kupigia kura mlikojiandikisha?! Kaa ulipo mpaka November 2020.
 
Masuala ya PESA hayana msimu, muda, wala zama.

Kipindi ambacho wewe unaona PESA ngumu, mwingine bomba ndio limefunguka.

Kipindi ambacho wewe unaona PESA upatikanaji wake umekuwa mgumu, mwingine anakula BATA kwa kwenda mbele.

Mambo ya PESA haya!

Acha tu
 
Wakati huu kama huna dili za kueleweka mjini bora kukimbilia bush tu
Mi nipo huku kijijini cha muhimu uhakika wa chakula tu basi, mpaka hii corona itakapoisha
 
Masuala ya PESA hayana msimu, muda, wala zama.

Kipindi ambacho wewe unaona PESA ngumu, mwingine bomba ndio limefunguka.

Kipindi ambacho wewe unaona PESA upatikanaji wake umekuwa mgumu, mwingine anakula BATA kwa kwenda mbele.

Mambo ya PESA haya!

Acha tu
Sawa mkuu ila Tanzania tunaijua ikikaza imekaza kweli
 
Yan hata sijawah fika
Reli ya TAZARA ushawah kupita? Kuna kituo kinaitw "Kidunda" mi ndo nipo ndani ndani huku Selous tupo watatu tumepga kambi. Kuna jamaa ametufadhili hapa tupo full na mahitaji.. nina kama mwezi sijaliona duka wala raia.

Hapa nilipo nasikia fisi kwa mbaali.. dah, haya maisha haya..!?
 
Pesa ngumu mpaka mtu mzima anapokuomba mkopo wa elfu tatu za kitanzania malipo mwisho wa mwezi jua hali ishakua mbaya aisee.Madeni nayo mpaka mtu unapauka sura aisee.
 
Reli ya TAZARA ushawah kupita? Kuna kituo kinaitw "Kidunda" mi ndo nipo ndani ndani huku Selous tupo watatu tumepga kambi. Kuna jamaa ametufadhili hapa tupo full na mahitaji.. nina kama mwezi sijaliona duka wala raia.

Hapa nilipo nasikia fisi kwa mbaali.. dah, haya maisha haya..!?
Kuna mtandao wa simu? Huko sio porini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu...Wote tunapitia hali kama hiyo ndomana wanunuzi wanaadimika pia..Usijali omba Mungu,,jitume,,Utafanikiwa
 
Wadau habari zenu

Sema kweli siku hizi pesa imeadimika ile mbaya. Nimesema hivyo kwa sababu kuna baadhi ya vitu nilipanga kuuza kama Sabufa, tv n.k lakini mpaka mida hii sijapata mteja. Nikilinganisha na siku za nyuma nilikuwa nauza hivyo vitu kiurahisi zaidi hasa "sabufa"

Kama yupo mteja anahitaji naomba aje pm basi tuyajenge
picha please
 
Back
Top Bottom