Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 255
Wadau habari zenu
Sema kweli siku hizi pesa imeadimika ile mbaya. Nimesema hivyo kwa sababu kuna baadhi ya vitu nilipanga kuuza kama Sabufa, tv n.k lakini mpaka mida hii sijapata mteja. Nikilinganisha na siku za nyuma nilikuwa nauza hivyo vitu kiurahisi zaidi hasa "sabufa"
Kama yupo mteja anahitaji naomba aje pm basi tuyajenge
Sema kweli siku hizi pesa imeadimika ile mbaya. Nimesema hivyo kwa sababu kuna baadhi ya vitu nilipanga kuuza kama Sabufa, tv n.k lakini mpaka mida hii sijapata mteja. Nikilinganisha na siku za nyuma nilikuwa nauza hivyo vitu kiurahisi zaidi hasa "sabufa"
Kama yupo mteja anahitaji naomba aje pm basi tuyajenge