kuna mdada aliandika fb ati kuna nyau alikuwa anaingia hadi bedroom kwake. Akimfukuza hatoki. Mdada akaenda kwa mganga, akaambiwa huyo ni mke mwenzio. Akamfanyia dawa afu akamchamba ile mbaya, nyau hakurudi tena. Nilicheka sana, imani kitu kingine aisee