Jamani nishaurini, DC kanichunuku!

Jamani nishaurini, DC kanichunuku!

Dc tu unahaha hivi? He he he, ana tofauti gani na balozi?
 
Gorgeous?hajaolewa wala hana mchumba! a prudent and reasonable man would never come to the whole world to see advice fo a fiction story
 
Watu Wa PCCB huwa hawafanyi mambo unayofanya wewe Na hasa kutoa siri hizi na kuomba ushauri kwa jambo lisilo Na kichwa wala miguu. Na ujue ni kosa kisheria kujofanya wewe ni Ofisa wa PCCB na unaweza ukatafutwa Na kukamatwa kama kk hata km unatumia nick name. Nakushauli ufute threat yako!

Huyu jamaa story yake ni ya kutunga lakini
hana jipya lolote,kamaliza Law mwaka jana
na kupata kazi.

Msanii tu huyu hana jipya!!!!
 
Hebu ngoja nifuatilie ratiba ya mwenge ili nijue ni nani!!Hayo mengine,fanya kama mwanaume!
 
:A S-omg::A S-omg::A S-omg::yell::A S-omg::A S-omg::A S-omg:
 
Chana business card,futa namba halafu endelea na kazi zako uongeze kipato.

We mkubwa sasa achana na miteremko
 
Back
Top Bottom