Jamani nisaidieni

Jamani nisaidieni

sweetkid

Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
12
Reaction score
0
My bf alinipia simu wakati nipo kazini nilikuwa nimetingwa na kazi nikashindwa kujibu simu yake cha ajabu nilipotoka job nampigia apoke u know what anasema nisimsumbue mpaka anitafute mwenyewe nimejaribu kumplz anakumuambia nilitingwa na kazi amegoma kunielewa ameniambia atanitafuta kwa wakati wake plz nisaidieni
 
Kweli wee ni sweetkid

Unataka tukusaidie nini?

Weka basi no yake ya simu tumtwangie....

Otherwise mwache akijisikia atakupigia

Kama una mahaba nigalagaze kesho muibukie...ila ukifumania usilie
 
Last edited by a moderator:
sweetkid a.k.a mtoto mtamu usipate stress....njoo stress free zone achana na wasusaji bana....
 
Last edited by a moderator:
Sasa Unahangaika Nini Si Umsubirie! Akigoma Humu Kuna Waume Kibao Kama Asprin Watakurudisha Njia Kuu
 
Last edited by a moderator:
Imemboa yeye....coz unapomuhtaji mpenz wako yy ndo anakua busy so inapain mno...ndo mana amekufanyia hvo ili n ww ujickie kma yy ikuume ...
 
My bf alinipia simu wakati nipo kazini nilikuwa nimetingwa na kazi nikashindwa kujibu simu yake cha ajabu nilipotoka job nampigia apoke u know what anasema nisimsumbue mpaka anitafute mwenyewe nimejaribu kumplz anakumuambia nilitingwa na kazi amegoma kunielewa ameniambia atanitafuta kwa wakati wake plz nisaidieni



hiyo ina kela ulitakiwa kupokea then mwambie nimetingwa na Kazi naomba tuongee baadae angekuelewa kuliko kutopokea simu kabisa.
ume mkwaza hata Mimi cipendi tabia hiyo
 
My bf alinipia simu wakati nipo kazini nilikuwa nimetingwa na kazi nikashindwa kujibu simu yake cha ajabu nilipotoka job nampigia apoke u know what anasema nisimsumbue mpaka anitafute mwenyewe nimejaribu kumplz anakumuambia nilitingwa na kazi amegoma kunielewa ameniambia atanitafuta kwa wakati wake plz nisaidieni

sweetkid hutakiwi kumbembeleza huyo jamaa anayekuringia lazima atakuwa na mtu, hebu niPM tuyamalize haya.
 
Last edited by a moderator:
My bf alinipia simu wakati nipo kazini nilikuwa nimetingwa na kazi nikashindwa kujibu simu yake cha ajabu nilipotoka job nampigia apoke u know what anasema nisimsumbue mpaka anitafute mwenyewe nimejaribu kumplz anakumuambia nilitingwa na kazi amegoma kunielewa ameniambia atanitafuta kwa wakati wake plz nisaidieni

Achana nae utapata mwingine mbona wako wengi tu hawa viumbe!?
 
sasa hapo nin tatizo? mbona hali ya kawaida kabisa
 
ni hasira za soda hizo zikiisha atakutafuta, ucmbembeleze mpe muda atajirudi, akipotea ujue hakuwa wako alikuwa anatafuta tu pa kuanzia
 
My bf alinipia simu wakati nipo kazini nilikuwa nimetingwa na kazi nikashindwa kujibu simu yake cha ajabu nilipotoka job nampigia apoke u know what anasema nisimsumbue mpaka anitafute mwenyewe nimejaribu kumplz anakumuambia nilitingwa na kazi amegoma kunielewa ameniambia atanitafuta kwa wakati wake plz nisaidieni

Sweetkid you are still young bado kuna mengi utakumbana nayo cha muhimu ni kukubali situation ya sasa japo i know is very difficult lakini ukweli ni kuwa kama kweli anakupenda kwa dhati kukujali na kukuheshimu hawezi fanya hayo ayafanyayo kwasasa! Ameshatambua udhaifu wako kwake so he is playing with your mind GUTUKA B4 IT IS TOO LATE...!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom