Inawezekana n MR lakini wakati mwingine inategemea na mwl anayemfundisha hasa akikaa na normal pupil, huyu unatakiwa kumpeleka shule special school. Lakini kabla ya kumpeleka huko mpeleke kwa psychiatric Dr utasaidiwa cha kufanya. Kama upo Dar nenda Muhimbili wapo wa kutosha
Bila kumuangalia mtoto mwenyewe huwezi kujua ni nini.
Inawezekana ikawa ni learning disability, Inaweza ikawa lack of concentration, Inawezekana ikawa kosa la mwalimu. Inawezekana ikawa ni muoga anaogopa kuuliza na pia sababu ya kurudishwa mara nyingi ame-loose confidence na kuanza kuamini maneno ya watu kwamba yeye ni mjinga.
Kuwa nae karibu na ufahamu shida ni nini ili uweze kurekebisha pia fuatilia interests zake ni nini, na kama anakuwa bored kujifunza jaribu kumuonyesha how learning can be fun, pia muamishe shule sababu kurudia mara nyingi shule moja inaweza kupeleka yeye kuloose confidence, kuchukia shule na kuacha kujitahidi.., mpeleke hata shule za nje na mpe ma-tuition kuliko kumrudisha madarasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.