Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
- Thread starter
- #21
kwanini akutaje kama haukuvunja naye amri za Bwana.
mtu anapofikia kukufuata home kwa ajili hiyo ujue
yuko serious. kama vipi mwambie uko na kazi
nyingi ili upate muda wa kuyafanyia kazi,
jitahidi usitume sms au kumpigia mkewe.
vinginevyo kimekula kwako.
Nashukuru sn mkuu ushauri wako nitaufanyia kazi. Samahani sana wakuu nilikuwa kusoma sasa endeleni kunipa ushauri.