Jamani nini dawa ya mwanamke mkorofi?

Jamani nini dawa ya mwanamke mkorofi?

Nenda kampime akili huyo mkeo.....inawezekana ni mhitimu wa MILEMBE....
 
[FONT=arial
black]Mwanamke huyu ninaishi naye kwa takribani miaka 6 sasa
tuna watoto 2, lakini cha kushangaza ni tabia yake ya ukorofi na
kutokupenda watu yaani ni mkorofi kwangu, kwa ndugu zake na hata watoto
pia, anatabia ya kuchukia watu sana, tumekaa vikao vingi hakini sijui
ndivyo alivyo yaani hata majirani cna hapa, kwakweli ni changamoto
kwangu naombeni ushauri zaidi na kwa mwenye namba za wanasaikolojia
anisaidie.

[/FONT] Aksanteni

mletee msaidizi ndo atatia adabu
 
aisee kuna mtu wangu wa karibu nae ana shida km yako yaani ni mtihani hasa imefika hatua ndgu wamewachoka kwenye vikao sasa hv wakigombana wanaambiwa mtajua wenyewe mume alikua na marafiki wote wamepotea
 
Vipi performance yako kitandani inaridhisha...kama lah basi anza na hilo kwanza hakikisha unamshughulikia kisawasawa mi ninakuhakikishia hutasikia rabsha tena...
Pili, jaribu kutafuta ndugu yako wa kike ambaye unaamini ukoo mzima wanamgwaya kwa ukorofi then mlete hapo kwako kwa jukumu moja tu la kuhakikisha anamchamba huyo mkewo hadi ajione si kitu...

Achukuee huu ushauriiiiiii
 
Hapo kwenye Red, Watu8 nimecheka mpaka basi. u made my day! kumbe yale wanayosema kina wifi wana-control ndoa za kaka zao sometimes huo ukorofi unatumika kama ''positive therapy' sio?

wewe watu8 inaelekea adabu kwa mkeo huna na unapenda kutumia ndugu zako wakusaidie kukusaidia kumnyanyasa mkeo.
nawe siku moja utaletewa shemeji yako mkorofi toka ukoo wao akuchambe ujione si kitu si chochote. alaaah ebo. jitambue bwana
 
wewe watu8 inaelekea adabu kwa mkeo huna na unapenda kutumia ndugu zako wakusaidie kukusaidia kumnyanyasa mkeo.

Kila tatizo lina namna yake ya kulifumbua, muhimu ni kutanguliza hekima tu na hiyo ndio nia kuu ya kutatua jambo gumu lolote...

Jaribu kusoma kisa cha Mfalme Suleiman na wanawake wawili walokuwa wakizozania mwana, kumbuka jambo ambalo Mfalme huyo alitaka kulitekeleza (lakini si kweli kwamba angelitekeleza...)

Kuna matatizo mengine hutatulia kwa njia ambazo wewe na mimi hatuwezi kuzifikiria kirahisi, inahitaji uthubutu usiokinzanika...


nawe siku moja utaletewa shemeji yako mkorofi toka ukoo wao akuchambe ujione si kitu si chochote. alaaah ebo. jitambue bwana

Soma hapo juu unielewe na kisha urudie tena kusoma hiki ulichoandika...
 
Haka kastor kanafanana na kastor Ka Dada yangu yuko mkoa wa Kilimanjaro anamambo kama hsya
 
Women are meant to be loved and not to be understood, how do u hope to understand a creature that was created while u were asleep.
 
Mpe mimba back to back ,atajua unyenyekevu una nguvu gani,
 
Mpe yelo kadi kwa kucheza rafu za mdomo.Akija za matendo piga streit redi hakuna namna
 
Back
Top Bottom